Manyunchwi
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 431
- 149
Maskini ulikuwa unatutukana sana UKAWA.. Ya MUNGU mengi hatimaye umeuona ukweli.. Karibu kwenye mapigano ya kuipata Tanzania mpya
Yaani umeme kukosekana,napata taabu sana jamani Tanzania we do not deserve giza,yaani ngoja tubadilishe uongozi tuwape ukawa,na wao wakichemsha 2020 tunaweka uongozi mwingine
Mgao utaisha tutakapo pata kiongozi mchapa kazi, naamini ni Magufuli pekee atatutoa kwenye mtihani huu
This is from a friend who works in the Oil and Gas sector in the Arab world:
Brother, kuchimba kisima cha Oil or Gas inahesabiwa in days min 15 days max 90 days inategemea na formation ya ardhi kule chini. Na kazi inakwenda sambamba na mabomba (Flowlines) zinazopeleka product to the Gathering Facilities for processing to be ready for delivery katika Main Pipeline inayopeleka Downstream for distribution to the end user, hata hivyo still huko mwisho kuna more facilities that are required like booster pumping stations for Oil and Pressure Reducing Terminals for gas.
Nafaham kwetu Tanzania visima vya gas zaidi ya 30 vishachimbwa tayari. Lakini gas haiwezi kuunganishwa kwa flowlines mpaka kufika katika Upstream Gathering Facilities and Processing Plants kam hizo hazijawa tayari kupokea gas. These very huge multiphase multistage facilities feed by wells from number of gathering satelite field stationsna kama hizonazo hazijawa tayari no way Kinyerezi or Ubungo can recieve LNG gas for powering the Turbine engjnes. So kwa case ya Mtwara na Kilwa haiwekani kama zimeshajengwa na ziko tayari. Na abadan huwezi kuunganisha kisima direct to the main line. Gas laizima iwe refregerated and pressure under control to become liquid ndio isafirishwe to any where for use in Tanzania. I guess TPDC and Tanesco hawasemi ukweli.
Nataraji umefaham. Namasteji
Daaah changa la macho, na wakati wa kuhesabu kura si itakuwa giza nchi nzima? Nahivi tutakuwa 200m away!
Bibi wa Msimbati alishasema gesi haitoki, CCM na Serikali yake wakaenda kupiga na kuua wananchi wa Mtwara wasio na hatia. Juzi kwa mbwembwe na madaha tumeambiwa mitambo ya kuzalisha Umeme wa gas umewashwa na mgao itakuwa ni jambo lililobaki Kwenye Vitabu Vya historia.
Wakati Simba Chawene alijinasibu kwa madaha mbele ya umma kuwa tatizo la umeme litakua historia, leo gazeti la Mwananchi limeandika Eng. Mramba wa TANESCO anasema mgao wa umeme haukwepeki kwani uzalishaj wa umeme umeshuka toka 561 megawatts mpaka 105 megawatts kutokana na ukame ulioikumba nchi...
Swali la kujiuliza; Gas iliwashwa au ilikua changa la macho?
Maneno ya Bibi wa Msimbati ndio ukweli mtupu, Gesi HAITOKI!
Wanafaidika vipi?
Sawa sawa mkuu, hawa CCM madaraka yame walevya na sasa hawaogopi wala kujali chochote. Ni bora waka kaa pembeni ili ijulikane kuwa hakuna mwenye hati miliki ya hii nchi. Na UKAWA waki chemsha tunawapa ACT. CCM inahitaji mapumziko ya miaka kama 15 hivi.Yaani umeme kukosekana,napata taabu sana jamani Tanzania we do not deserve giza,yaani ngoja tubadilishe uongozi tuwape ukawa,na wao wakichemsha 2020 tunaweka uongozi mwingine
Bibi wa Msimbati alishasema gesi haitoki, CCM na Serikali yake wakaenda kupiga na kuua wananchi wa Mtwara wasio na hatia. Juzi kwa mbwembwe na madaha tumeambiwa mitambo ya kuzalisha Umeme wa gas umewashwa na mgao itakuwa ni jambo lililobaki Kwenye Vitabu Vya historia.
Wakati Simba Chawene alijinasibu kwa madaha mbele ya umma kuwa tatizo la umeme litakua historia, leo gazeti la Mwananchi limeandika Eng. Mramba wa TANESCO anasema mgao wa umeme haukwepeki kwani uzalishaj wa umeme umeshuka toka 561 megawatts mpaka 105 megawatts kutokana na ukame ulioikumba nchi...
Swali la kujiuliza; Gas iliwashwa au ilikua changa la macho?
Maneno ya Bibi wa Msimbati ndio ukweli mtupu, Gesi HAITOKI!
Kweli kufa kufaana,kama wauza generator,wauza Solar pannels na wauza mafuta ya generator watakuwa wamefurahi sanawanafanya biashara ya genereta na solar pannels.
Manyoko wewe kuna MTU mchapakazi kwa mdomo kama Kikwete? Kama huyo kashindwa mwingine ndani ya ccm hayupo!!