Gesi Mtwara: Bibi wa Msimbati, nimeamini maneno yako

Gesi Mtwara: Bibi wa Msimbati, nimeamini maneno yako

Nikiweka kumbukumbu zangu sawa juzijuzi hapa kwenye TV Mhe. Simbachamwene si alisema kwamba taifa zima wanaume kwa wanawake wote tulipaswa kusimama kkwa muda fulani kwa sababu iliyokuwa imefikiwa kulitatua tatizo letu la umeme? Na hili giza ni la nini tena?
Hivi hii nchi nani kairoga jamani?
Hakuna, hapa si bure kuna mkono Wa chama fulani; kinachochanganya siasa na utaalamu!
 
Kwa ambao walifikiri yule bibi anatania waende Msimbati wakajifunze mila na utaratibu wa maisha wa pale..
Siyo swala la bibiwa msimbati, hapa swala ni aina ya mkataba tuliosaini hauna tofauti na ule wa richmond. ni kwamba wakishamaliza ujenzi wanaanza kupiga hela bila kujali kuna ges au hakuna.
 
Siyo swala la bibiwa msimbati, hapa swala ni aina ya mkataba tuliosaini hauna tofauti na ule wa richmond. ni kwamba wakishamaliza ujenzi wanaanza kupiga hela bila kujali kuna ges au hakuna.

ndio maana walikuwa wanalizimisha sheria ya mafuta na gesi ipite haraka
 
Swali kubwa: Je, hii sio sehemu ya makakati kufanikisha 'mambo yao' ile wiki muhimu (25 Oct - 31 October)? Mimi naona hatari mbele yetu! Tafakarini.
 
Anaitwa Bi Somoe Namtiti alisema badala ya kutoka gesi hapo Kinyelezi yatatoka maji😂😂😂🙆🙆
 
kinachoniuma zaidi ni kulipa service charge kila mwezi wakati hata napata usiku tu saa 2 -12 asb
 
This is from a friend who works in the Oil and Gas sector in the Arab world:

Brother, kuchimba kisima cha Oil or Gas inahesabiwa in days min 15 days max 90 days inategemea na formation ya ardhi kule chini. Na kazi inakwenda sambamba na mabomba (Flowlines) zinazopeleka product to the Gathering Facilities for processing to be ready for delivery katika Main Pipeline inayopeleka Downstream for distribution to the end user, hata hivyo still huko mwisho kuna more facilities that are required like booster pumping stations for Oil and Pressure Reducing Terminals for gas.
Nafaham kwetu Tanzania visima vya gas zaidi ya 30 vishachimbwa tayari. Lakini gas haiwezi kuunganishwa kwa flowlines mpaka kufika katika Upstream Gathering Facilities and Processing Plants kam hizo hazijawa tayari kupokea gas. These very huge multiphase multistage facilities feed by wells from number of gathering satelite field stationsna kama hizonazo hazijawa tayari no way Kinyerezi or Ubungo can recieve LNG gas for powering the Turbine engjnes. So kwa case ya Mtwara na Kilwa haiwekani kama zimeshajengwa na ziko tayari. Na abadan huwezi kuunganisha kisima direct to the main line. Gas laizima iwe refregerated and pressure under control to become liquid ndio isafirishwe to any where for use in Tanzania. I guess TPDC and Tanesco hawasemi ukweli.
Nataraji umefaham. Namasteji

Namasteji...tikeh!
 
Ukweli ndio msingi wa kila kitu chema duniani.
Hivi kama serikali na tanesco yake wakisema ukweli unadhani hata hizo kura zina haja ya kuziiba basi!?
Kwa uongo huu basi ni wazi wanaousema hawana nia njema na nchi hii na wanataka kutupeleka kwenye matatizo kwa maana watu huenda wakataka maelezo sahihi kwa nguvu na hapo ndipo utagundua kuwa askari elfu arobaini hawawezi kuwazuia Watanzania milioni hamsini!
 
Siyo swala la bibiwa msimbati, hapa swala ni aina ya mkataba tuliosaini hauna tofauti na ule wa richmond. ni kwamba wakishamaliza ujenzi wanaanza kupiga hela bila kujali kuna ges au hakuna.
ZZK alisema kuwa bomba lenye diameter kubwa kuzidi letu na urefu karibia sawa limejengwa kwa 600b huko Ethiopia/Afghanistan wakati letu limegharimu 1.3trillion!
Kwa hakika haya mambo hayataweza kujificha milele, ni suala la muda tu!

 
Hali mbaya badala ya kupanda megawarts ndo zinashuka,jamani huu uongozi gani?CCM MUST GO,YAANI SUALA LA UMEME LIMENIUMIZA SANA.SASA NIMEHAMIA UKAWA RASMI

Maskini ulikuwa unatutukana sana UKAWA.. Ya MUNGU mengi hatimaye umeuona ukweli.. Karibu kwenye mapigano ya kuipata Tanzania mpya
 
Back
Top Bottom