Gerson Msigwa: Nimetembea Kilometa 80 kwenda shule

Gerson Msigwa: Nimetembea Kilometa 80 kwenda shule

Think2

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2025
Posts
2,744
Reaction score
5,105
Kwa uhalisia tu haiwezekani KM 80? Yaani sawa na Mita 80000 kwa miguu huyu jamaa amekubuhu kwa uongo hizo kilometa unafika shule wenzio washatawanyika unarudi nyumbani usiku unafika asubuhi afu tena urudi shule 😂.

Gerson huu umbali unaosema wewe sio kweli labda kama umekosa cha kusema. Kwa mfano kutoka Kinyarambo hadi Saadani Sekondari huko Iringa ni KM 40 kwahiyo ili nifike shule yako inabidi nitembee Kilometa 40 kwenda na kurudi ndipo nifike shule yako.

Hiyo hapa umetudanganya pakubwa Watz wa sasa sio wale wa miaka ile ambao hawajui Kilometa ni nini na mita ni nini.

FB_IMG_1778586655799.jpg
 
Kwa uhalisia tu haiwezekani KM 80? Yaani sawa na Mita 80000 kwa miguu huyu jamaa amekubuhu kwa uongo hizo kilometa unafika shule wenzio washatawanyika unarudi nyumbani usiku unafika asubuhi afu tena urudi shule 😂.

Gerson huu umbali unaosema wewe sio kweli labda kama umekosa cha kusema. Kwa mfano kutoka Kinyarambo hadi Saadani Sekondari huko Iringa ni KM 40 kwahiyo ili nifike shule yako inabidi nitembee Kilometa 40 kwenda na kurudi ndipo nifike shule yako.

Hiyo hapa umetudanganya pakubwa Watz wa sasa sio wale wa miaka ile ambao hawajui Kilometa ni nini na mita ni nini.

View attachment 3587539
Pichani hapo Chini Garson Msigwa udogoni.

Screenshot_20260503_155944_Facebook.jpg
 
Kwa uhalisia tu haiwezekani KM 80? Yaani sawa na Mita 80000 kwa miguu huyu jamaa amekubuhu kwa uongo hizo kilometa unafika shule wenzio washatawanyika unarudi nyumbani usiku unafika asubuhi afu tena urudi shule 😂.

Gerson huu umbali unaosema wewe sio kweli labda kama umekosa cha kusema. Kwa mfano kutoka Kinyarambo hadi Saadani Sekondari huko Iringa ni KM 40 kwahiyo ili nifike shule yako inabidi nitembee Kilometa 40 kwenda na kurudi ndipo nifike shule yako.

Hiyo hapa umetudanganya pakubwa Watz wa sasa sio wale wa miaka ile ambao hawajui Kilometa ni nini na mita ni nini.

View attachment 3587539
Shida tuliyonayo ni kuwa viongozi wetu wamekubaliana ili waonekana wanaishi maisha ya mananchi kila mmoja anasema ametokea kwenye maisha ya dhiki sana. Inawezekana wanayoyasema yakawa na ukweli kwa kiasi fulani, ila wakati mwingine unapozisikia hizi story ni kama zimetiwa chumvi kuwafariji wananchi wenye dhiki katika dhiki zao.
 
Back
Top Bottom