Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,789
- 218,426
Kuna Wakati mambo ya Nchi hii yanashangaza sana !
Pamoja na kwamba sifahamu vigezo vya Mtu kuteuliwa kuwa msemaji wa serikali , Lakini natambua kwamba kuwa Msemaji wa serikali ni dhamana kubwa mno , na kwa kadiri ninavyomfahamu Msigwa hakustahili kuwa Msemaji wa Serikali yetu ya Tanzania , Msemaji wa Serikali hawezi kuwa kama Msemaji wa Yanga , Haji Manara , au yule wa Clouds Mbwiga Mbwiguke , haikubaliki kuropoka ropoka tu , ni lazima Msemaji wa serikali ayajue mambo ya nchi yake na awajue viongozi wake , hata kama anatumwa , he/she must understand the mood of the people , body language yake ni lazima ifuate mawimbi ya anaowaeleza jambo .
Kwa kadri ya Kumbukumbu zangu , Msigwa ndiye Msemaji wa serikali Duni kabisa kuwahi kuwepo tangu Tanzania ianzishwe . Alishindwa kabisa kuitetea serikali yake hata kwenye mambo mepesi , hajui kabisa kipengere muhimu cha Propaganda , Msemaji wa serikali unapotetea serikali hata kama ni kwenye jambo linaloumiza Wananchi , Yaani wananchi wakikusikiliza japo wanalia lakini wawe wanatabasamu .
Nawashukuru waliopendekeza kwamba ashushwe cheo na kutupwa kwenye Ukatibu wa Wizara , Japo nimedokezwa kwamba hiyo ni njia ya kuondokea .
Pamoja na kwamba sifahamu vigezo vya Mtu kuteuliwa kuwa msemaji wa serikali , Lakini natambua kwamba kuwa Msemaji wa serikali ni dhamana kubwa mno , na kwa kadiri ninavyomfahamu Msigwa hakustahili kuwa Msemaji wa Serikali yetu ya Tanzania , Msemaji wa Serikali hawezi kuwa kama Msemaji wa Yanga , Haji Manara , au yule wa Clouds Mbwiga Mbwiguke , haikubaliki kuropoka ropoka tu , ni lazima Msemaji wa serikali ayajue mambo ya nchi yake na awajue viongozi wake , hata kama anatumwa , he/she must understand the mood of the people , body language yake ni lazima ifuate mawimbi ya anaowaeleza jambo .
Kwa kadri ya Kumbukumbu zangu , Msigwa ndiye Msemaji wa serikali Duni kabisa kuwahi kuwepo tangu Tanzania ianzishwe . Alishindwa kabisa kuitetea serikali yake hata kwenye mambo mepesi , hajui kabisa kipengere muhimu cha Propaganda , Msemaji wa serikali unapotetea serikali hata kama ni kwenye jambo linaloumiza Wananchi , Yaani wananchi wakikusikiliza japo wanalia lakini wawe wanatabasamu .
Nawashukuru waliopendekeza kwamba ashushwe cheo na kutupwa kwenye Ukatibu wa Wizara , Japo nimedokezwa kwamba hiyo ni njia ya kuondokea .