PostGE2025 Gerson Msigwa asema ataitolea ufafanuzi documentary ya CNN

PostGE2025 Gerson Msigwa asema ataitolea ufafanuzi documentary ya CNN

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Ni ngumu kubishana na teknolojia yaani hapo kuna prove ya Meta ya picha na video pia kuna satelite imaginery
 
Serikali imejiweka kwenye angle ambayo hata yenyewe inatamani ifanye maandamano kujinasua hapo.
 
Kuhusu kaburi la halaiki uwongo aisee,picha za chini pale makaburini zinaonesha kuna nguzo za zege kuonesha mpaka wa kiwanja,hivi wanaweza zika mamia kwenye kiwanja cha mtu?
Unamaanisha mengine yote ni sawa? Yaani yalitokea hapa kwetu Tanzania? Yaani unakubaliana? Weka rekodi zako sawa tafadhari!
 
Kuhusu kaburi la halaiki uwongo aisee,picha za chini pale makaburini zinaonesha kuna nguzo za zege kuonesha mpaka wa kiwanja,hivi wanaweza zika mamia kwenye kiwanja cha mtu?
Nadhani makaburini ( cemetery ) ni kiwanja pia hivyo kina mipaka. Inawezekana nguzo hiyo ni mpaka wa cemetery. Sijawahi kufika hapo. Ni mawazo tu.
 
Ila Msigwa na mwonaga kama zapunga flani,Mungu anisamehe sijui kuangalia vizuri ila nahisi utotoni alidondokea kichwa fyuzi flani zikakata,Hana hata mshipa wa aibuuuu!??
 
Kuhusu kaburi la halaiki uwongo aisee,picha za chini pale makaburini zinaonesha kuna nguzo za zege kuonesha mpaka wa kiwanja,hivi wanaweza zika mamia kwenye kiwanja cha mtu?
Nadhani makaburini ( cemetery ) ni kiwanja pia hivyo kina mipaka. Inawezekana nguzo hiyo ni mpaka wa cemetery. Sijawahi kufika hapo. Ni mawazo tu.
 
Unamaanisha mengine yote ni sawa? Yaani yalitokea hapa kwetu Tanzania? Yaani unakubaliana? Weka rekodi zako sawa tafadhari!
Watu kubutuliwa ni kweli walibutuliwa,si walitaka kuipindua serikali!!
 

Attachments

  • IMG_20251118_141855.jpg
    IMG_20251118_141855.jpg
    95.4 KB · Views: 11
Nadhani makaburini ( cemetery ) ni kiwanja pia hivyo kina mipaka. Inawezekana nguzo hiyo ni mpaka wa cemetery. Sijawahi kufika hapo. Ni mawazo tu.
Sidhani,ukitazama kwa picha ya juu ni viwanja vimekatwa,vina mipaka
 
Ikiwezekana wafungie na CNN isionekane Tanzania hahahah
 
"Serikali imefuatilia makala iliyochapishwa muda mfupi uliopita na chombo cha habari cha CNN kuhusu matukio ya tarehe 29 Oktoba, 2025 na siku zilizofuata.Tunachambua na kuhakiki maudhui yaliyomo katika makala hiyo na tamko la Serikali litakuja baada ya kukamilika kwa uhakiki huo". Serikali ya Tanzania kupitia kwa Gerson Msigwa Msemaji Mkuu wa Serikali.
Njia pekee ya kujibu ni kuwaleta Hai wale wote wanaaoneshwa kuuawa kwenye documentary hiyo.
 
Kuna watu Wana comment mizaha, kejeri na lugha za maudhii...

CHIZII ANACHEKESHA KAMA HATOKEI KWAKO... ""HUWEZI KU FEEL A PLEASURE ALIYO NAYO KIPOFU..KAMA WEWE SIO KIPOFU ""
SIKU MAMA YAKE, BINTI YAKE MDOGO AKICHUKULIWA MBELE YAKE AKALAWITIWA MBELE YA MACHO YAKE AMA KAKA, BABA AU YEYE MWENYEWE MUDA HUU ANGEKUA MUDA HUU HANA MKONO WALA MGUU..AU ANGEPELEKWA MORTUARY AKIWA HAI NDIO ANGEJUA MACHUNGU NA MAUMIVU YA WALIO POTEZA WAPENDWA WAO..

MUDA HUU ANGEKUA HANA JICHO AU MKONO MMOJA MUDA HUU NDIPO AKILI ZINGE MREJEA

PENGINE LUCHA AKIONGEA HAYO MANENO MBELE YA HUYO BABA ALIE POTEZA MKEWE PENGINE KISU CHA SHINGO KITAKUA KINA BEMBEA SHINGONI KWAKE MUDA HUU..

NB. HAKUNA BINADAMU SPECIAL KILICHO FANYIKA NI CRIMES AGAINST HUMANITY.
mzanzobar huyo anafuraia vifo vya wabara
 
msigwa anajifanya kila Kitu anajua sasa hapo atatoa ufafanuzi gani au anajua anakwenda kuongea na machawa wa ccm
 
Back
Top Bottom