PostGE2025 Gerson Msigwa asema ataitolea ufafanuzi documentary ya CNN

PostGE2025 Gerson Msigwa asema ataitolea ufafanuzi documentary ya CNN

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Too late
Wakati BBC wanatoa taarifa mara ya kwanza Govt waliulizwa ili ku balance story kama ethic zinavyotaka
Walipaswa kumpa their side of the story kabla hii haijatoka na najua walimtafuta ili kutaka ku compromise imeshindikana
Sasa atakachojibu ni mipasho kwa sababu hizo picha ni authentic na wamezi verify kwa forensic evidence na testimony za watu
na hiyo clip ni ya dk 5, wakitaka jamaa anaweza akaandaa documentary hata ya saa nzima kwa evidence waliyo nayo kwa picha alizotumiwa na zile za Mange
Ni bora wakae kimya kama mshauri wao mpya Tido Mhando atawashauri hivyo
 
Kwa hyo watu wakae kimya wasizungumze kisa CNN?

tanzania si taifa la cnn
ingieni tena tarehe 9 dec ili cnn iwaandikie tena documentary
 
Huyu jamaa LOFA nini?...amfafanulie nani huyu kihiyo?....huyo mtangazaji aliwatafuta walishindwa nini kutoa ushirikiano?....anataka kutueleza nini ambacho yeye anakijua ambacho sisi hatukukiona...si kuna tume yao basi awe mpole...
Kama suala la vibaka..tunajua...ila katika hii ripoti yote ni ya kweli PERIOD...
Na kuna mengine yamemisi...
Muda utaongea...
 
Too late
Wakati BBC wanatoa taarifa mara ya kwanza Govt waliulizwa ili ku balance story kama ethic zinavyotaka
Larry alikujwa wakamzuia Namanga akitokea Nairobi wakati ule mpaka umefungwa
Walipaswa kumpa their side of the story kabla hii haijatoka na najua walimtafuta ili kutaka ku compromise imeshindikana
Sasa atakachojibu ni mipasho kwa sababu hizo picha ni authentic na wamezi verify kwa forensic evidence na testimony za watu
na hiyo clip ni ya dk 5, wakitaka jamaa anaweza akaandaa documentary hata ya saa nzima kwa evidence waliyo nayo kwa picha alizotumiwa na zile za Mange
Ni bora wakae kimya kama mshauri wao mpya Tido Mhando atawashauri hivyo
Larry alisema hawezi kuja tz kuripoti uchaguzi anaogopa kuliwa kinyeo
 
Mtu ashasepa na Taulo yeye anataka amfukuze. Huyu harudi kutilea maelezo yeyote yale. Ameahamfurahisha bosi tayari.
 
Screenshot_20251121_142751_Lite.jpg
 
Back
Top Bottom