PostGE2025 Gerson Msigwa asema ataitolea ufafanuzi documentary ya CNN

PostGE2025 Gerson Msigwa asema ataitolea ufafanuzi documentary ya CNN

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Wanajiingiza kwenye matatizo makubwa sana na wazungu na wazungu ndio hicho wanachotaka tu sio kingine....Wanataka Tanzania iwajibu ili wajue wapi wawaanzie...Serikali pumbavu sana ambayo haijui wanachofanya...
 
Gerson atafanya vyema kufafanua ili kuondoa huu upotoshaji wa CNN.
Kuna watu Wana comment mizaha, kejeri na lugha za maudhii...

CHIZII ANACHEKESHA KAMA HATOKEI KWAKO... ""HUWEZI KU FEEL A PLEASURE ALIYO NAYO KIPOFU..KAMA WEWE SIO KIPOFU ""
SIKU MAMA YAKE, BINTI YAKE MDOGO AKICHUKULIWA MBELE YAKE AKALAWITIWA MBELE YA MACHO YAKE AMA KAKA, BABA AU YEYE MWENYEWE MUDA HUU ANGEKUA MUDA HUU HANA MKONO WALA MGUU..AU ANGEPELEKWA MORTUARY AKIWA HAI NDIO ANGEJUA MACHUNGU NA MAUMIVU YA WALIO POTEZA WAPENDWA WAO..

MUDA HUU ANGEKUA HANA JICHO AU MKONO MMOJA MUDA HUU NDIPO AKILI ZINGE MREJEA

PENGINE LUCHA AKIONGEA HAYO MANENO MBELE YA HUYO BABA ALIE POTEZA MKEWE PENGINE KISU CHA SHINGO KITAKUA KINA BEMBEA SHINGONI KWAKE MUDA HUU..

NB. HAKUNA BINADAMU SPECIAL KILICHO FANYIKA NI CRIMES AGAINST HUMANITY.
 
"Serikali imefuatilia makala iliyochapishwa muda mfupi uliopita na chombo cha habari cha CNN kuhusu matukio ya tarehe 29 Oktoba, 2025 na siku zilizofuata.Tunachambua na kuhakiki maudhui yaliyomo katika makala hiyo na tamko la Serikali litakuja baada ya kukamilika kwa uhakiki huo". Serikali ya Tanzania kupitia kwa Gerson Msigwa Msemaji Mkuu wa Serikali.
Failure wa form 4 atatoa ufafanuzi gani kupingana na world first class science giant in digital communication
 
Msigwa atakuwa hayupo sawa ndio hapo nimesema mama kawekwa chambo ila hajui yeye mama anaona watu wake wa karibu wanampenda sanaaa na hana tatizo kutembea na huo ulinzi haimaanishi kwamba wanamkubali....Kuna watu behind wanacheza mchezo wote huu asubirie watu wake watakuja kumuonyesha soon...
 
"Serikali imefuatilia makala iliyochapishwa muda mfupi uliopita na chombo cha habari cha CNN kuhusu matukio ya tarehe 29 Oktoba, 2025 na siku zilizofuata.Tunachambua na kuhakiki maudhui yaliyomo katika makala hiyo na tamko la Serikali litakuja baada ya kukamilika kwa uhakiki huo". Serikali ya Tanzania kupitia kwa Gerson Msigwa Msemaji Mkuu wa Serikali.
msigwa anazuia kuharisha kwa kuziba mkyundu na kidole kubabake 😂😂
 
Kuhusu kaburi la halaiki uwongo aisee,picha za chini pale makaburini zinaonesha kuna nguzo za zege kuonesha mpaka wa kiwanja,hivi wanaweza zika mamia kwenye kiwanja cha mtu?
unazuia uharo wako kwa kuziba myundu wako kwa kidole
 
NI mtu mjinga ndio atamsikiliza huyo Msigwa .

Taarifa imekua verified na mtaalam wa OSINT , BenDo Brown anayefahamika na kuheshimika duniani halafu tuje tumsikilize Msigwa na zile division IV za pale Tanpol ambazo watu wanatekwa wao wanasema wamejiteka?
 
"Serikali imefuatilia makala iliyochapishwa muda mfupi uliopita na chombo cha habari cha CNN kuhusu matukio ya tarehe 29 Oktoba, 2025 na siku zilizofuata.Tunachambua na kuhakiki maudhui yaliyomo katika makala hiyo na tamko la Serikali litakuja baada ya kukamilika kwa uhakiki huo". Serikali ya Tanzania kupitia kwa Gerson Msigwa Msemaji Mkuu wa Serikali.
Ukisikia kushambuliwa angani, majini na ardhini; ndiyo huku sasa! Mlio karibu naye mshaurini aache kupoteza muda kujibia kitu ambacho kiko wazi. Zaidi wataendelea tu kujidhalilisha.
 
Back
Top Bottom