Gereza la Guantanamo wakuu liko wap?

Gereza la Guantanamo wakuu liko wap?

Aaah mi sikubaliani na hiyo ranking ya hayo magereza kwani hayo magereza yanazidi magereza ya hapa bongo kwa mateso? Keko, segerea ebana mi naona nayo yaongezwe maana wanaopelekwa huko hutoka na historia za kubamba kitaa
 
Duh,Hilo gereza inaonekana ni hatari sana.Vipi yule Kijana wa Kenya aliepelekwa huko bado yiko hai?.Ila naona kuna mmoja wa wafungwa anadurusu Qur'an,Jazzaka Allah Khair
 
Wakuu inavyosemekana gereza hil waliokuwepo weng na waislam wale wenye siasa kal, je kuna ukwel wowote kuhusu hilo
 
Lipo Wilaya ya Ukerewe. Wavuvi wanaotumia baruti ndio hufungwa huko. Wengi wao (hao wafungwa) ni wanatoka katika kabila la wakara.

Ni kweli hata yule aliyekua mwenyekiti wa simba Aden Rage aliwahi kufungwa huko. Sasa hivi yuko Dodoma kwenye bunge la katiba akitoka huko atakuja kudhibitisha.
 
images

images

Wanacheza na viduku huko? Aisee
 
Kuna mtanzania niliwahi sikia nae yupo huko anapiga jalamba,,mzenji.
 
Ni pepo ya magaidi kabla ya kwenda jekhanamu kwa mabikra zao
 
Camp 22 liko korea kaskazini. Ndio gereza linaloaminika lina mateso zaidi na ukatiri kuliko yote duniani. Ni jehanamu iliyoko duniani. Waliobahatika kufika kule na kutoka wanasema kama umeishi kule hata jehanamu utaishi bila shida.

Je kuna mabikira wa kuanzia kujifunzaa ili ukifika kule juu uwe ushazoeaaa, ??
 
Hii jela maalum kwa magaidi!mateso ni makali mno,kuna shekh wa kitanzania alipelekwa hadi aliokoka na siku hiz mchungaji
 
Back
Top Bottom