George W Bush arrives in Tanzania

George W Bush arrives in Tanzania

ni ndugu zetu wote ni binadamu; mahusiano mazuri na nchi za nje
 
Na nyinyi acheni kuwa paranoid bana.

Kuwa Mtumwa kunakufanya usijiamini sana na kujiona dhaifu

Unaweza kuona aibu hata mama yako akija kukupokea pale airport siku unarudi kwenu ili Rafiki zako wasimuone!

Utumwa mbaya sana hasa kwenye nchi za watu.
 
Heri kurudisha wakoloni weupe kuliko hawa wakoloni wabaya weusi CCM.
 
hivi kuna nini hapa nchini.....?.....naogopa mwenzenu.........


Utaogopa hata kuinga mbinguni
 
hivi kuna nini hapa nchini.....?.....naogopa mwenzenu.........


Utaogopa hata kuingia mbinguni
 
Ila akina Ritz na propaganda zao zinazosaidiwa na wanaowaita ndugu wa damu wa Kiarabu wanamwona ni shetani..I like the guy aliwapa clear Mashoga, magaidi yet akashinda chaguzi zake....Bushi sis mliberali.

wewe mzazi wako akiuliwa kinyama na mtu, kisha akakujengea nyumba apo apo utamuabudu
 
Unafiki kupokea ni jambo la msingi ?

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
hivi kuna nini hapa nchini.....?.....naogopa mwenzenu.........
nchi ishauzwa hii dai chako utambae......

wazungu sio wajinga warundikane namna hii tz...kuna kitu wan benefit hakuna misaada wala nini......raisi wako ancheka cheka tu.....
 
wanazigombea alafu ss tunajipanaga barabarani kuwapigia makofi..hii nchi hii
Preta kuna bidhaa adimu kama uranium, dhahabu, almasi, chuma, gas, misitu na si ajabu siku za usoni mafuta ya kumwaga n.k Mchina anazitaka na Mmarekani anazitaka sasa ndio wanapigana vikumbo huku kila mmoja akitaka kuhakikisha anawahi bidhaa hizo adimu na kuzimiliki milele kabla ya mwenzie huku Watanzania tukiambulia SIFURI.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
hivi kuna nini hapa nchini.....?.....naogopa mwenzenu.........
Khaa!! Eti kuna tetesi mitaani kasikia kuwa Obama anataka kuuziwa Kigamboni wakati yeye alikwisha lipia tayari sasa amekuja kuhakikisha :gossip:
:focus:
 
Back
Top Bottom