Msafiri Kasian
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 2,134
- 664
hivi kuna nini hapa nchini.....?.....naogopa mwenzenu.........
Duh! Mi mwenyewe sielewi, wananitisha hawa!
hivi kuna nini hapa nchini.....?.....naogopa mwenzenu.........
Mbowe ndani ya Ikulu anakula bata.
hivi kuna nini hapa nchini.....?.....naogopa mwenzenu.........
wapendwa George Bush Nae amewasili Tanzania Usiku huu.
Chandarua chake mipanya buku inapenya!
Mbowe ni pandikizi la ccm hakuna lingine hata kauli zake ni za utata.
Kimsingi Rais Bush alifanya mambo mengi sana ya kusaidia Africa kuliko marais waliomtangulia wa US
Kama siyo umoja wetu wangesha tupiganisha wenyewe kwa wenyewe siku nyingi, lakini tuna utulivu na amani tumshukuru MUNGU kwahilo. Tuwaache wajichumie maana tukiwagomea tutaona chamoto, wakitaka kitu lazima wakipate kwa gharama zozote.
Yeye Ndie alietoa nafasi kubwa kwa weusi Kwenye cabinet yake,Kimsingi Rais Bush alifanya mambo mengi sana ya kusaidia Africa kuliko marais waliomtangulia wa US
Kwani bush Ana ubaya ganiU are right alichokifanya bush kwa africa na programme za ukimwi na malaria ni kitu kikubwa zaid kuwai fanywa na rais yoyote wa marekani kwa africa pamoja na ubaya wote wa bush
Mbowe ndani ya Ikulu anakula bata.
hivi kuna nini hapa nchini.....?.....naogopa mwenzenu.........