PgSoft2008
JF-Expert Member
- May 15, 2008
- 264
- 73
wapendwa George Bush Nae amewasili Tanzania Usiku huu.
hakuna atakaye fikia recodi ya Kenedy!Kimsingi Rais Bush alifanya mambo mengi sana ya kusaidia Africa kuliko marais waliomtangulia wa US
hivi kuna nini hapa nchini.....?.....naogopa mwenzenu.........
Kimsingi Rais Bush alifanya mambo mengi sana ya kusaidia Africa kuliko marais waliomtangulia wa US
JK ebu mruhusu basi Dr Slaa naye akampokee amekuwa mkiwa sana.
Kumbe hakuna kitu cha maana kinachofanyika Ikulu ni kura bata tu.nahisi wabongo wengi waliopo pale wanawaza kula bata tu du kazi ipoMbowe ndani ya Ikulu anakula bata.
Mwambie Chagonja amkamate si alisema ikifika 30/6/2013 kabla hajatoa huo mkanda wa bomu la Soweto atamkamata!! Hawa viongozi wako unaowashabikia ni aibu na hawajuhi maneno wanayobwabwajaMbowe ndani ya Ikulu anakula bata.