George Soros kafunga Ofisi Kenya, chanzo cha mgogoro chadema & Co.!

Kijakazi

JF-Expert Member
Jun 26, 2007
6,413
8,913
George Soros yule mzee wa Kiyahudi ambaye ndiye mmiliki wa open society amefunga na kuondoa funding kwenye Open Society jambo lililopeleka ofisi nyingi ikiwemo ya Nairobi kufungwa, kwa wasiomfahamu George Soros ndiye mdhamini wa mapinduzi Duniani kote kuanzia color revolution North Afrika mpaka Ukraine na USA, ndiye mfadhili mkuu wa chadema na CCM iliyopo pia …

George Soros mfadhili wa ccm na chadema


1698741107609.png
 
Ana dhamini kivipi na kwanin amefunga office mbona unakimbia mbiombio
 
George Soros yule mzee wa Kiyahudi ambaye ndiye mmiliki wa open society amefunga na kuondoa funding kwenye Open Society jambo lililopeleka ofisi nyingi ikiwemo ya Nairobi kufungwa, kwa wasiomfahamu George Soros ndiye mdhamini wa mapinduzi Duniani kote kuanzia color revolution North Afrika mpaka Ukraine na USA, ndiye mfadhili mkuu wa chadema na CCM iliyopo pia …

George Soros mfadhili wa ccm na chadema


View attachment 2798734

Bila proof hizo zitabaki hadithi za bunuasi
 
George Soros yule mzee wa Kiyahudi ambaye ndiye mmiliki wa open society amefunga na kuondoa funding kwenye Open Society jambo lililopeleka ofisi nyingi ikiwemo ya Nairobi kufungwa, kwa wasiomfahamu George Soros ndiye mdhamini wa mapinduzi Duniani kote kuanzia color revolution North Afrika mpaka Ukraine na USA, ndiye mfadhili mkuu wa chadema na CCM iliyopo pia …

George Soros mfadhili wa ccm na chadema


View attachment 2798734
UVCCM mtaanza lini kuandika habari kamili?
 
Kwani Wayahudi siyo Wazungu? 😂
Ukiwa makini utaiona tu tofauti ya kimuonekano mkuu. Waarabu wamepigwa kitu kizito na kina Netanyahu wa Uingereza 😂😂😂

I mean wamechanganyiwa colour na wazungu maksudi ili kutawaliwa kiurahisi middle east
 

Attachments

  • images (3).jpeg
    images (3).jpeg
    21.8 KB · Views: 3
  • images (1).jpeg
    images (1).jpeg
    29.1 KB · Views: 3
  • images (2).jpeg
    images (2).jpeg
    31 KB · Views: 2
Back
Top Bottom