mangelengele
JF-Expert Member
- Nov 4, 2014
- 1,293
- 1,102
Maswali Ya Kijasusi Haya
Nionavyo hapo muuwaji ni namba 4
Kwa iyo kaua afa katulia kaja kunywa chai.... aah aaah we jamaa bhaana...muuaji ni no.1....Hana kisu mezani mwake...maana kisu chake kakitumia kuulia na kukiacha kwenye tukio....
Genius.... 4 is the killer. Coz huyu muhudumu kabeba kinywaji cha pili kumuelekea yeye iki maanisha walikuwa meza moja na huyo dada04 is the answer
Acha kufuga ujinga,masista hua hawavai mitandio?!
...muuaji ni no.1....Hana kisu mezani mwake...maana kisu chake kakitumia kuulia na kukiacha kwenye tukio....
R.I.P....kauliwa lini kwani?
GoodNamba 3 ndio muuaji.
Mauaji yamefanyika choo cha kike
huyo aliyevaa mtanduo namba 3 ndio mtu
pekee mwenye uwezo wa ku access kuingia
choo cha kike.
Yeah,angalia shati lake limechanika plus kwenye shingo amekwaruzika. .means kulikuwa na purukushani,na mezani hana kisuGenius.... 4 is the killer. Coz huyu muhudumu kabeba kinywaji cha pili kumuelekea yeye iki maanisha walikuwa meza moja na huyo dada
Sent using Jamii Forums mobile app