fisi maji
Member
- Aug 2, 2011
- 29
- 7
No 4..Maana meza zote zina visu yeye hana wakati namba 3 Kisu kipo na ndiyo Menu yake inawasili
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Nop, sio no 3 maana alie uwawa amechomwa na kisu, na kipo pembeni yake, no 4 hana kisu mezani, ndo muuajiNamba 3 ndio muuaji.
Mauaji yamefanyika choo cha kike
huyo aliyevaa mtanduo namba 3 ndio mtu
pekee mwenye uwezo wa ku access kuingia
choo cha kike.
Na pia no 4 kavaa shati nyekundu ili isiwe rahisi kuona madoa ya damu incase yakimrukia wakati wa mauaji hayoNop, sio no 3 maana alie uwawa amechomwa na kisu, na kipo pembeni yake, no 4 hana kisu mezani, ndo muuaji
Mleta swali kama unalo jibu lilete haraka kuepusha ugomvi. Nadhani ni muda muafaka sasa wa kupata jibu sahihi. Kitendawili kikikaa muda mrefu bila kuteguliwa uchosha.Tulia usijichanganye huyo aliyevaa mtandio aweza kuwa mwanaume pia
hakuna sehemu nimetaja mwanamke!
siku nyingine usikurupuke mimi nimetoa reasoning zangu mwenye access ya
hiyo washroom ya kike ni huyo aliyevaa mtandio/hijab
mwanaume aliyevaa ngua za kiume ni rahisi kushtukiwa
Alafu usiite sababu zangu ni za kitoto pumbav ww.
pambana mkuu naona hali kwako ni teteNi chuki ya cartoonist na vazi la hijabu kwa wanawake wa kiislamu.....
In short, anamaanisha namba 3 ni Gaidi...!!
Akili ya kuambiwa changanya na ya kwako...!!
Pambana na hali yako...
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa hayo maelezo yako mbona hata marehemu naye hajapewa namba?KWA NINI WENGI MNAMKWEPA WAITOR HUYO?? HATA NO HAJAPEWA INAMAANA YEYE HAWEZI KUUA?
Sent using Jamii Forums mobile app
Usiku wa kuamkia jana,ni mwanajf mwenzetu alipata ajali ya bodaboda pale River Side,mbona kuna uzi wa tanzia humu?R.I.P....kauliwa lini kwani?