mmm!! aiseh3 ndio muuaji itakuwa alitumia hicho kibegi chake kubeba kisu na kwenda kuuwa
amerudi amesahau hata kufunga .....alafu inaonekana yupo kwenye shock
kutokana na kufunga mikono yake.
Alafu pia mwanaume hawezi kumuua mwanamke kwa kumchoma kisu
angepiga kabali mchezo kwisha.
angali maelekezo mlango wa chooKwani choo ni cha wanawake au wanaume? Ama ni public?
Steve Jobs - Giant Of Technology.