Genius only: Who is the killer?

Genius only: Who is the killer?

Hapo ni mchezo wa number 4 na 3 .Wameshirikiana pamoja ila aliyeingia kukamilisha mauaji ni 3

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeona eeh mkuu kawaida katika kila meza ilitakiwa kuwe na uma na kisu. Ila ukiangalia meza ya no 4 utakuta ana uma hana kisu na 3 ana kisu hana uma kwahyo hapo kuna exchange ilifanyika aidha no 4 alimpa no3 uma alafu yeye akabakiwa na kisu.
Pia Ni kweli no3 ndo amekamilisha mauaji maana kuna viashiria vingi tu ukiangalia shati lake lilivyo inaonekana kulikuwa na purukushan kabla ya kutimiza mauaji na pia kisu chake ndo kilitumika kufanikisha tukio hilo.
 
Namba nne kwa kuwa kila meza ina kisu ila alipokaa namba nne hakuna kisu hata hajashika kisu
 
Muuji ni namba 4...

Sababu
Hana kisu kama wenzie....
Anaonekana yupo na stress kidogo mpaka anajichanganya anakula kwa mikono yote miwili......
Lakini pia shati yake ni kama alikutana na purukushani hivyo kuna sehemu imechomekewa na sehemu haijachomekewa.....
Ila mteja no 2 na muhudumu wanamtazama kwa nshangao, inaonekana alitoka choo cha kike, matumiz ya mikono miwil, na mabadiliko ya shat iliwashangaza......
 
Picha lina anza jamaa kakaa kweny hcho kiti huku akiwa anavuta sigara wakat huo huo bastola kaiweka pembeni...akaanza kuandika hyo barua zen baada ya kumalza kuandka akachukua bastola ilyokuwa pemben akaijpga risasi kwa kutumia mkono wake wa kulia....hiyo bastola aliiwekeza upande wa kulia wa kichwa chake ndo maana damu ili luka had ukutan kule....ule mshindo wa risas ukafanya marehemu aanguke chini kwa kutapatapa ndio maana vitu vme vurugika
sigara na bastola zingetoka mikononi wakati akitapatapa
ha ha ha!!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asiye na namba ndio muuaji kwasababu nimeota na nimejisikia huyo ndio muuaji no discussion
 
03 kaua...
Kafa mwanamke ktk chooo cha kike na muuji hajahudumiwa bado ndo analetewa chakula...
So hapo amezuga tu
 
3.

Kwanza alikua ashamaliza kula hapo ndio akaenda uko akakutana na marehem.

Pili kisu alichokua nacho mezani ndicho kilichoko kule kwa marehem

Sent from "La -Vista"
 
Mimi kilaza nawaachia ma genius "Genius only"
 
Back
Top Bottom