namba moja vifaa vingine vya mezani kwake havionekani vimezibwa na mgongo wake so inawezekana kisu kipo ila kimezibwa na mgongo wakenumber 1 kwasababu hana kis katika meza yake
na 4 hawezi kuwa muuaji sababu hamna kiti kingine katika meza yakemuaji ni namba 4 kwA sababu kisu chake mezan hakipo kulinganishwa na waliokaa kwnye meza nyingine na pia namba 4 yupo karibu sana na women washroom its just a matter of steps kuingia chooni na mwisho kabisa kavaa nguo nyekundu hili kuficha damu endapo aKifanikisha kuua kwA sabanu atatumia mikono yake na lazima damu zingelimpata ....It wAs a strategy to wear a ted shirt.
Na naweza sema it is not common for men to stay behind or straight to a women washroom accordingly kulingana na jinsi migahawa mingi ilivyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakupa tena ushahidi wA mwishona 4 hawezi kuwa muuaji sababu hamna kiti kingine katika meza yake
SIYO KWELI; Muuaji ni namba 04. angalia mtu aliyekufa ameuawa kwa kisu, number 04 hana kisu mezani wakati wengine wana visu vyao, kwa hiyo in the first place huyu ndiye prime suspect. (in my views)Namba 3 ndio muuaji.
Mauaji yamefanyika choo cha kike
huyo aliyevaa mtanduo namba 3 ndio mtu
pekee mwenye uwezo wa ku access kuingia
choo cha kike.
Umetoa sababu za kitoto kabisa.... hata mwanaume anaweza akafanya mauji kwenye hicho choo cha kike ili ionekane si yeye ili kukwepa mkono wa serikaliNamba 3 ndio muuaji.
Mauaji yamefanyika choo cha kike
huyo aliyevaa mtanduo namba 3 ndio mtu
pekee mwenye uwezo wa ku access kuingia
choo cha kike.
Hahahahahaha..mbona namba nne anacho kisu na ndicho ana kitumia?SIYO KWELI; Muuaji ni namba 04. angalia mtu aliyekufa ameuawa kwa kisu, number 04 hana kisu mezani wakati wengine wana visu vyao, kwa hiyo in the first place huyu ndiye prime suspect. (in my views)
Tulia usijichanganye huyo aliyevaa mtandio aweza kuwa mwanaume piaUmetoa sababu za kitoto kabisa.... hata mwanaume anaweza akafanya mauji kwenye hicho choo cha kike ili ionekane si yeye ili kukwepa mkono wa serikali
Sijui una maanasha nini unaposema huyo mwanamke ni mtu pekee mwenye access ya kuingia hicho choo wakati huna uhakika ni vipi huwa wanaingia huko...sidhani kama ni sawa kutumia neno access kwenye hili tukio...
Mfano to me number one is the killer maana hata murder weapon kasahau kweye eneo latukio maana ukiangalia ni yeye hana kisu cha kulia(kam ni chenyewe ndicho kinacho onekana kwenye scene)
Pia kwenye picha ya mauji kuna mkanganyiko wa aina ya kisu kilicho tumika maana mimi naona vina fanana na vinavyo tumika hapo hotelini yani visu vya kulia...
Na kama ni kisu cha kulia basi ni namba moja...
I buy your reasoningSIYO KWELI; Muuaji ni namba 04. angalia mtu aliyekufa ameuawa kwa kisu, number 04 hana kisu mezani wakati wengine wana visu vyao, kwa hiyo in the first place huyu ndiye prime suspect. (in my views)
Angle ya tundu la risasi ina matter sanaSimply, this is murder! Angalia bastora kashika mkono gani, Angalia damu ipo upande gani then imagine umemuinua na kurudi kukaa katika kiti ndipo utaona kuwa bastora yake na position ya damu tofauti!