Namba 3 ndio muuaji.
Mauaji yamefanyika choo cha kike
huyo aliyevaa mtanduo namba 3 ndio mtu
pekee mwenye uwezo wa ku access kuingia
choo cha kike.

Mkuu nimebadirisha reasoningmmm!! aiseh
Water closet (WC) = bathroom.angali maelekezo mlango wa choo
mkojo......No.3 ndio anahusika na mauaji hayo kwasababu zifuatazo;
1- mauaji yamefanyika kwenye choo cha wanawake na yeye ndio pekee mwenye ruhusa ya kuingia huko.
2- mkoba wake uko wazi na inaonekana kuna kitu ametoa na akasahau kuufunga, ukizingatia kuwa mauaji yamefanyika kwa kutumia kitu chenye ncha kali(labda ni kisu )
no 3 akapimwe mkojo..
ndio mkuu, au hauwezi kusaidia kitumike kipimo kingine?mkojo......
Simply, this is murder! Angalia bastora kashika mkono gani, Angalia damu ipo upande gani then imagine umemuinua na kurudi kukaa katika kiti ndipo utaona kuwa bastora yake na position ya damu tofauti!
kwa hiyo point yako ya kwanza nakupinga tena vikali. Kwani muuaji akidhamilia kukuua hawezi kuingia maliwato ya kike?No.3 ndio anahusika na mauaji hayo kwasababu zifuatazo;
1- mauaji yamefanyika kwenye choo cha wanawake na yeye ndio pekee mwenye ruhusa ya kuingia huko.
2- mkoba wake uko wazi na inaonekana kuna kitu ametoa na akasahau kuufunga, ukizingatia kuwa mauaji yamefanyika kwa kutumia kitu chenye ncha kali(labda ni kisu )
no 3 akapimwe mkojo..