Ushirombo
JF-Expert Member
- Jan 22, 2013
- 3,558
- 2,711
sahani haina kitu,afu kama mkoba uko wazi mithili ya kwamba anataka kuescape au kaweka kitutujaribu kutoa na sababu. why 03?
sahani haina kitu,afu kama mkoba uko wazi mithili ya kwamba anataka kuescape au kaweka kitutujaribu kutoa na sababu. why 03?
Murder
Namba 4 ndiye muuaji. Meza zote zina visu vya kukatia chakula lakini meza yake haina kisu. Kisu chake amekiacha sehemu ya tukio
Na kingine nashauri tuwapime mkojo
Mkuu hiko choo una scan jinsia kwanza ndo unaingia?? Kwamba jinsia pinzani hawezi ingiaNamba 3 ndio muuaji.
Mauaji yamefanyika choo cha kike
huyo aliyevaa mtanduo namba 3 ndio mtu
pekee mwenye uwezo wa ku access kuingia
choo cha kike.