PostGE2025 Genge la Abdul linamuona Nchimbi kama tishio

PostGE2025 Genge la Abdul linamuona Nchimbi kama tishio

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Hapo kwenye kubadili kipengele cha makamu wa Rais kuja kuwa Rais ikiwa kitatokea chochote kisichotarajiwa nasikia nikweli , huu mjadala upo active sana hata sasa kwenye kamati nyingi za ulinzi na usalama .

Ila hapo kwa Nchimbi kuja kuwa bora na pengine kuja kuwageuka kindi lililompambania kumuweka alipo ,nadhani ninamna tu yakujitengenezea faraja ya bandia

Chakwanza licha tu ya Nchimbi kutokuwa na hiyo spirit lakini muundo wa hayo kuja kufanikiwa siyo mwepesi kwa kiwango hicho wazee .

Kundi la mtandao ni moja kati ya makundi hatari sana Duniani , kabla hawajaridhia kumuweka kwenye hiyo nafasi ,jamaa alipembuliwa kwa viwango vyakutosha sana na mwisho akaonekana hana madhara kwao
Wanufaika wa utawala wa sasa hawamwamini Nchimbi hasa baada ya kupendekeza waachane na Tabia ya kuwatengenea kesi kesi chadema, anataka maridhiano kama kenya na Zanzibar Nchi iwe na upendo na Amani, hapendi kuona Aibu wanayopata mawakili na mashahidi wa Serikali mahakamani kwa kuwabambikia kesi za uongo chadema,
 
Huyo Nchimbi ni kibaraka mtiifu sana kwa JK.
Anaifahamu CCM kumzidi samia na anazijua rafu za wanamtandao na malezi yake yote ndani ya chama amebebwa vizuri sana na hiyo mbeleko ya wanamtandao.
Hivyo kwa yeye kusaliti genge, ni ngumu na inahitaji mtaji mkubwa wa "malaika watoa roho" ndani ya chama.
Sasa jiulize ataanza na yupi kumshawishi mpaka akubali kuungana nae kuvunja huo ukuta walojiwekea wahuni ndani ya chama?
Hao ni ndege wafananao...
Hakuna cha habari ya utii kwa katoliki. Nchimbi katengenezwa na "mastermind himself" akijitela, yeye ndo atakuwa immediately eliminated.
 
Huyo Nchimbi ni kibaraka mtiifu sana kwa JK.
Anaifahamu CCM kumzidi samia na anazijua rafu za wanamtandao na malezi yake yote ndani ya chama amebebwa vizuri sana na hiyo mbeleko ya wanamtandao.
Hivyo kwa yeye kusaliti genge, ni ngumu na inahitaji mtaji mkubwa wa "malaika watoa roho" ndani ya chama.
Sasa jiulize ataanza na yupi kumshawishi mpaka akubali kuungana nae kuvunja huo ukuta walojiwekea wahuni ndani ya chama?
Hao ni ndege wafananao...
Hakuna cha habari ya utii kwa katoliki. Nchimbi katengenezwa na "mastermind himself" akijitela, yeye ndo atakuwa immediately eliminated.
Timu lowasa wapo, Timu magufuli waliojeruhiwa wapo pia wapo waliokosa ubunge vyeo ccm, Nchimbi akitaka watu ndani ya ccm wapo wengi wasiopenda yanayoendelea Nchini kwa sasa
 
Wakuu hakuna kiongozi wa CCM wa maana tuache hizi ngonjera

Tusisahau dhamira ni moja tu CCM iondoke madarakani hatumtaki Nchimbi wala Polepole

Ila kama watauana ni heri maana watakuwa wanaturahisishia kazi

Huwezi kumpaka rangi Donkey awe Zebra
 
Hofu yao ni kubwa; wanahisi mama yao anaweza kurudishwa mavumbini kama ilivyokuwa kwa JPM.

Nawe ukawa rais na ukavuruga maisha yao wote waliohusika na utekaji na mauaji dhidi ya Watanzania.

Sasa basi, inaandaliwa namna ya kumrudisha mavumbini ili apatikane msaidizi wa kundi lao.

Japo nyinyi nyote mnaonekana wahuni, yaani genge Abdul na wahuni wa mtandao, imeonekana

Wewe ni tishio kwa Genge lao Kwa sababu ya Uhusiano wako na Kanisa Katoliki.

Kama dhamira yako ni njema, Mungu akusaidie. Kama dhamira yako ni ya kihuni, upate matokeo yanayostahili kwa kitendo hicho.
Dkt Nchimbi hawezi kuua mtu awe rais kama alivyofanya Dkt Samia kumuua Dkt Magufuli. Dkt Samia alikuwa compromised mpaka kujikuta anashiriki mauaji ya bosi wake Dkt Magufuli, na za ndani nafsi inamsuta sana tena sana na hofu yake akipokwa madaraka anaogopa kisasi hivyo bora kila anayeibuka kumpinga lazima amuue ili aendelee kuwa madarakani. Hivyo Dkt Nchimbi hana nia ya kuua bosi kabisa
 
Wakuu hakuna kiongozi wa CCM wa maana tuache hizi ngonjera

Tusisahau dhamira ni moja tu CCM iondoke madarakani hatumtaki Nchimbi wala Polepole

Ila kama watauana ni heri maana watakuwa wanaturahisishia kazi

Huwezi kumpaka rangi Donkey awe Zebra
kweli kabisa ukiingia kwenye mfumo wa ccm lazima uwe mtu wa hovyo adui wa nchi yetu ni ccm
 
Hofu yao ni kubwa; wanahisi mama yao anaweza kurudishwa mavumbini kama ilivyokuwa kwa JPM.

Nawe ukawa rais na ukavuruga maisha yao wote waliohusika na utekaji na mauaji dhidi ya Watanzania.

Sasa basi, inaandaliwa namna ya kumrudisha mavumbini ili apatikane msaidizi wa kundi lao.

Japo nyinyi nyote mnaonekana wahuni, yaani genge Abdul na wahuni wa mtandao, imeonekana

Wewe ni tishio kwa Genge lao Kwa sababu ya Uhusiano wako na Kanisa Katoliki.

Kama dhamira yako ni njema, Mungu akusaidie. Kama dhamira yako ni ya kihuni, upate matokeo yanayostahili kwa kitendo hicho.
Akili za kuambiwa, changanya na zako.
 
Hana Amani yoyote, hofu yao imezidi baada ya Kukumbuka Katiba Mbovu inaruhusu Makamo kua Rais .

Sasa Kwa kuzingatia Mauaji waloyafanya, Kupora Uchaguzi, wamefikia hitimisho la kuanza kutafuta Makamo mwingine ,ili ikitokea Mama yao Kafa, Wapate Rais wa Genge lao.
HIYO IBARA MIMI NAIITA "IBARA YA KISHIRIKINA".KAMA MSEMO MMOJA KWENYE KITABU;

"DO ME A FAVOUR,DROP DEAD"
 
Back
Top Bottom