PostGE2025 Genge la Abdul linamuona Nchimbi kama tishio

PostGE2025 Genge la Abdul linamuona Nchimbi kama tishio

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Hofu yao ni kubwa; wanahisi mama yao anaweza kurudishwa mavumbini kama ilivyokuwa kwa JPM.

Nawe ukawa rais na ukavuruga maisha yao wote waliohusika na utekaji na mauaji dhidi ya Watanzania.

Sasa basi, inaandaliwa namna ya kumrudisha mavumbini ili apatikane msaidizi wa kundi lao.

Japo nyinyi nyote mnaonekana wahuni, yaani genge Abdul na wahuni wa mtandao, imeonekana

Wewe ni tishio kwa Genge lao Kwa sababu ya Uhusiano wako na Kanisa Katoliki.

Kama dhamira yako ni njema, Mungu akusaidie. Kama dhamira yako ni ya kihuni, upate matokeo yanayostahili kwa kitendo hicho.
Umeimalizia kibabe dah!🤣
 
Hofu yao ni kubwa; wanahisi mama yao anaweza kurudishwa mavumbini kama ilivyokuwa kwa JPM.

Nawe ukawa rais na ukavuruga maisha yao wote waliohusika na utekaji na mauaji dhidi ya Watanzania.

Sasa basi, inaandaliwa namna ya kumrudisha mavumbini ili apatikane msaidizi wa kundi lao.

Japo nyinyi nyote mnaonekana wahuni, yaani genge Abdul na wahuni wa mtandao, imeonekana

Wewe ni tishio kwa Genge lao Kwa sababu ya Uhusiano wako na Kanisa Katoliki.

Kama dhamira yako ni njema, Mungu akusaidie. Kama dhamira yako ni ya kihuni, upate matokeo yanayostahili kwa kitendo hicho.
1000260487.jpg
 
Story yako nzuri kasoro hapo kwenye ukaribu na RC church.
Hilo sio kweli, ana makando mengi sidhani kama wangependa kujihusisha nae.
Am not sure kama alimaliza seminari, fuatilia vizuri Carlos The Jackal
 
Hana Amani yoyote, hofu yao imezidi baada ya Kukumbuka Katiba Mbovu inaruhusu Makamo kua Rais .

Sasa Kwa kuzingatia Mauaji waloyafanya, Kupora Uchaguzi, wamefikia hitimisho la kuanza kutafuta Makamo mwingine ,ili ikitokea Mama yao Kafa, Wapate Rais wa Genge lao.Huyoe
Kwa hali hii huenda wakarekebisha hicho kipengere cha sheria bungeni kuzuia makamu wa Rais kuwa Rais endapo Rais anakuwa katangulia mbele ya haki, wanajua ikiwa Nchimbi anakuwa Rais watafungwa jela wote na kufisiwa mali zao walizopora na kuficha popote Duniani
 
Sasa Nchi ipo njia panda badala ya kupoza machungu wanaongeza hasira kwa wapenda haki kwa kuwabambikia Heche kesi ya Uongo huku wakipanga njama za kumtoa Nchimbi kwenye umakamu wa Rais, hicho kikundi kimejaa ushetani wa kutisha ni vyema wasomewe Albadiri mapema kabla hawajaenda mbali
 
Kwa hali hii huenda wakarekebisha hicho kipengere cha sheria bungeni kuzuia makamu wa Rais kuwa Rais endapo Rais anakuwa katangulia mbele ya haki, wanajua ikiwa Nchimbi anakuwa Rais watafungwa jela wote na kufisiwa mali zao walizopora na kuficha popote Duniani
Hapo kwenye kubadili kipengele cha makamu wa Rais kuja kuwa Rais ikiwa kitatokea chochote kisichotarajiwa nasikia nikweli , huu mjadala upo active sana hata sasa kwenye kamati nyingi za ulinzi na usalama .

Ila hapo kwa Nchimbi kuja kuwa bora na pengine kuja kuwageuka kindi lililompambania kumuweka alipo ,nadhani ninamna tu yakujitengenezea faraja ya bandia

Chakwanza licha tu ya Nchimbi kutokuwa na hiyo spirit lakini muundo wa hayo kuja kufanikiwa siyo mwepesi kwa kiwango hicho wazee .

Kundi la mtandao ni moja kati ya makundi hatari sana Duniani , kabla hawajaridhia kumuweka kwenye hiyo nafasi ,jamaa alipembuliwa kwa viwango vyakutosha sana na mwisho akaonekana hana madhara kwao
 
Nchi imejeruhiwa sana yafaa itibiwe kwa kufanya maridhiano na walioathirika sana ilibidi walipwe fidia kuombwa msamaha, Serikali ya ccm iache kuzidisha chuki kwa kuendelea kamata kamata watu hovyo kuwabambikia kesi za uongo , Serikali ya kupenda kesi kesi ni serikali ya hovyo kwani hakuna binadamu atawapenda viongozi watesi waonevu wanaotumia mda mwingi kuonea watu badala ya kuleta maendeleo
 
Nchi imejeruhiwa sana yafaa itibiwe kwa kufanya maridhiano na walioathirika sana ilibidi walipwe fidia kuombwa msamaha, Serikali ya ccm iache kuzidisha chuki kwa kuendelea kamata kamata watu hovyo kuwabambikia kesi za uongo , Serikali ya kupenda kesi kesi ni serikali ya hovyo kwani hakuna binadamu atawapenda viongozi watesi waonevu wanaotumia mda mwingi kuonea watu badala ya kuleta maendeleo
💯%
 
Nchi inahitaji faraja Nchi haihitaji kesi kesi kamata kamata kesi kila kata wilaya mkoa kwani kwenye huo mfumo waonevu hutumia fursa kuwaonea watu kuwatengenea kesi wapate Rushwa pia kuwakomoa kwa chuki binafsi, Tanzania ya sasa inahitaji maombi maalumu kuwarejesha watanzania pamoja siyo kuwatesa kwa kutumia polisiccm na mahakamaccm
 
Watavurugana tuu kati yao, wamemwaga damu nyingi sana zisizo na hatia, ila sisi hatusubiri hilo kupata mabadiliko
 
Watavurugana tuu kati yao, wamemwaga damu nyingi sana zisizo na hatia, ila sisi hatusubiri hilo kupata mabadiliko
Watu wanasononeka sana badala ya kusaka mbinu za kuwafariji wao wapo busy kuzidisha chuki zaidi
 
Back
Top Bottom