Moronight walker
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 3,105
- 4,635
Kwa mara ya pili mtoto wa Rais wa Uganda, General Muhoozi kaitishia Kenya kwa mars ya pili, na kusema nitakuja for sure. Na anadai wakenya wamuombe msamaha yeye.
Mara ya kwanza Museveni aliomba Wakenya wamsamehe kijana wake ila kwa sasa kurudi tena.
Kwa sasa tweet hizi zimefutwa!
Mara ya kwanza Museveni aliomba Wakenya wamsamehe kijana wake ila kwa sasa kurudi tena.
Kwa sasa tweet hizi zimefutwa!