Nyendo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,389
- 4,912
Kumekuwa na hali ya kila kizazi kukishangaa kizazi kingine, mfano Millennials wengi wanawashangaa namna Gen Z wanavyochukulia mambo, wanaona kama wanayachukulia kwa wepesi hata kama yanaonekana mazito na namna hawakubali kupelekeshwa ili akusikilize inabidi umpe sababu yenye mashiko haijilishi umri wako, tofauti na wao ilikuwa ilmradi aliyesema ni mkubwa basi analazimika kusikiliza.
Je, Gen Z kipi kinawashangaza au kinawafanya muwaone Millennials walikuwa wanazingua wakati wao?
Je, Gen Z kipi kinawashangaza au kinawafanya muwaone Millennials walikuwa wanazingua wakati wao?