PreGE2025 GEITA, Mwenyekiti UVCCM: Kabla ya kuwapa nafasi hawa waongo tukayaseme mafanikio ya Rais Samia

PreGE2025 GEITA, Mwenyekiti UVCCM: Kabla ya kuwapa nafasi hawa waongo tukayaseme mafanikio ya Rais Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,499
Mwenyekiti wa Umoja wa vijana wa chama cha Mapinduzi UVCCM Mkoa wa Geita Manjale Magambo amewaasa Viongozi wa Chama na Serikali kuendelea kuyasemea mazuri ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ikiwemo ujenzi wa miradi mbalimbali inayoendelea Mkoani Geita.

Hayo ameyasema wilayani Bukombe wakati alipofanya ziara ya kutembelea na kukagua uhai wa chama ambapo amewaasa wana CCM kuwa mstari wa mbele katika kusema yanayofanywa na Serikali.

 
Ikiwa kazi inafanyika kama anavyosema haina ya kutangaza maana kila mmoja anaona!
 
Mwenyekiti wa Umoja wa vijana wa chama cha Mapinduzi UVCCM Mkoa wa Geita Manjale Magambo amewaasa Viongozi wa Chama na Serikali kuendelea kuyasemea mazuri ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ikiwemo ujenzi wa miradi mbalimbali inayoendelea Mkoani Geita.

Hayo ameyasema wilayani Bukombe wakati alipofanya ziara ya kutembelea na kukagua uhai wa chama ambapo amewaasa wana CCM kuwa mstari wa mbele katika kusema yanayofanywa na Serikali.

Kwa nini hotuba nyingi zinazotolewa na viongozi wa CCM wasikilizaji wanakuwa wame nuna ? Inaelekea wanajua wanasema uongo
 
Back
Top Bottom