TANZIA Geita: Madiwani wawili wateule wa CCM wafariki dunia

We dada usitafute justification kwa yaliyotokea huko Zanzibar na bara.

Unatonesha vidonda

Ndio maana watu wanafurahi vifo vya ccm kwasababu ni waovu sana
Pole sana mkuu, ila yapo mengi yanayotonesha vidonda... tunaumia kwa ndugu zetu waliowawa bila kuangalia vyama sababu ipo tofauti kati ya muuaji kuwa mwanachama wa chama fulani na chama kuwatuma wafuasi wake kufanya mauaji.
CCM pia wameuwawa sana lakini busara yao imesaidia kudeal na wauaji badala ya kuchafua vyama upinzani au serikali.

https://www.ippmedia.com/sw/habari/kada-wa-ccm-adaiwa-kuuawa-kwenye-vurugu

Mauaji Kada wa CCM Njombe, JPM Aagiza…



Kuwatumia waliouwa ili kuchochea mauaji sio suluhu ila ni kuzidi kuhatarisha usalama wetu sote
 
Mungu ni hakimu anae hukumu kwa haki.
Kwa hivyo wewe utashi ulio nao unaamini kwamba Mungu yupo pamoja na watu wanao unga mkono ushoga Mkuu? Ndivyo unavyo amini hivyo. Kwa hivyo unaamini kwamba Mungu yupo pamoja na watu wasio amini kwamba Mungu anaweza kuondoa adhaa ya magonjwa yanayo zuka kiajabu ajabu.

Chukua hili andiko baada ya hapo ulisome.
Biblia ambalo ni neno la Mungu inasisitiza kila mara kwamba ushoga ni dhambi, Soma nukuu zifuatazo: Mwanzo 19:1-13; Mambo ya Walawi 18: 22; Warumi 1:26-27; Wakorintho wa kwanza 6:9. Warumi 1:26-27 inatufundisha ya kwamba ushoga ni njia mojawapo ya kumkana na kutomtii Mungu. Mtu anapodumu katika dhambi na kutokuamini biblia inatuambia ya kwamba Mungu huwaachilia kutenda maovu zaidi ili wapate kujua ubatili wa maisha bila Uwepo wa Mungu. Wakorintho wa kwanza 6:9 inasema kuwa mashoga hawataurithi ufalme wa Mungu.

Mungu hakuumba mwanadamu mwenye tamaa ya ushoga au binadamu shoga. Biblia inatuambia mtu huwa shoga kwa sababu ya dhambi. (Warumi 1:24-27), na pia kwa sababu ya uamuzi wake mwenyewe. Mtu anaweza kuzaliwa na msukumo juu ya ushoga kama vile watu pia huzaliwa na msukumo juu ya fujo na dhambi nyinginezo. Hili halihalalishi dhambi yoyote inayofanywa na wanadamu. Je, mtu akizaliwa na msukumo wa hasira mbaya, ni halali aendeleze hasira zake mbaya? La, hasha. Hata kwa ushoga pia si halali.
 
Haya sasa, uchaguzi mdogo kabla hata ya uapisho.
---
Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Geita kimepata pigo baada ya madiwani wake wawili wateule kufariki dunia kwa nyakati tofauti wakati wakipatiwa matibabu katika hospitali ya Bugando jijini Mwanza.

Akizungumza na Mwananchi Digital leo Jumamosi Novemba 7, 2020 katibu mwenezi wa CCM mkoani Geita, David Azaria amewataja madiwani hao wateule kuwa ni Masalu Luponya (Bugalama) na Magomamoto Zanziba (Buziku).

Azaria amesema Luponya aliugua wakati wa kampeni na hata siku ya uchaguzi Oktoba 28, 2020 alipigiwa kura na wananchi akiwa amelazwa hospitali ya Bugando.

Amesema Magomamoto aliugua ghafla juzi na alipelekwa Bugando lakini alifariki saa chache baadaye.

Amesema Luponya atazikwa leo nyumbani kwake Bugalama huku taratibu za mazishi ya Magomamoto zikiendelelea kufanywa na chama hicho kwa kushirikiana na familia yake.

Magomamoto alikuwa diwani wa Buziku kuanzia 2010 hadi 2020 na mwaka 2010 hadi 2015 alikuwa makamu mwenyekiti wa baraza la madiwani.

Katibu mwenezi wa CCM wilaya ya Geita, Jonathan Masele amesema kifo cha Luponya ni pigo kwa CCM na jamii iliyokuwa ikimzunguka.

Luponya wakati wa uhai wake alikua akisomesha wanafunzi 50 wa sekondari na 20 wa ualimu sambamba na kutoa huduma mbalimbali za kijamii kwenye kata hiyo.

Chanzo: Mwananchi
Wakati Wao wanawinda wapinzani kwa bunduki Mungu anawaua kwa magonjwa. Wateuwe tu wengine maana uchaguzi wa sasa ni upuuzi mtupu
 
Eti mnashindwa uchaguzi kwasababu hamna Mungu,una akili timamu kweli?Kwahiyo Mungu ndiye anaeenda kuiba kura?
Kufeni tu,we dont give a damn!Tena mteketee zaidi na zaidi!Hizi Tanzia tutakuwa tunakuja kufurahia hapa!
Sasa kwanini mnashindwa kumwomba huyo Mungu wenu ili azuie kuiba kura. Tatizo lako akili yako ni ndogo mno mambo ya Mungu wewe huwezi kuyaelewa kwasababu uwezo wako wa kufikiri ni mdogo mnoo
 
Sijui hawa ndugu zetu ni watu wa namna gani aise. Yaani tunaweza tukawa tunajadili na watu wa chini mnoo kifikira hapa jukwaani.

Unapokua mbinafsi kiasi cha kujiwazia wewe mwenyewe, peke yako, bila kujali leo ya maskini wasiokua na hata umeme wa kuchaji kitochi, bila kuijali kesho ya wajukuu na vitukuu zako, bila kujali kesho ya nchi yako lazima fikra zitakua chini sana.
Tuombeane uzima na sio vifo kama wanavyofanya.... najua ipo siku wataelewa
 
Haya sasa, uchaguzi mdogo kabla hata ya uapisho.
---
Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Geita kimepata pigo baada ya madiwani wake wawili wateule kufariki dunia kwa nyakati tofauti wakati wakipatiwa matibabu katika hospitali ya Bugando jijini Mwanza.

Akizungumza na Mwananchi Digital leo Jumamosi Novemba 7, 2020 katibu mwenezi wa CCM mkoani Geita, David Azaria amewataja madiwani hao wateule kuwa ni Masalu Luponya (Bugalama) na Magomamoto Zanziba (Buziku).

Azaria amesema Luponya aliugua wakati wa kampeni na hata siku ya uchaguzi Oktoba 28, 2020 alipigiwa kura na wananchi akiwa amelazwa hospitali ya Bugando.

Amesema Magomamoto aliugua ghafla juzi na alipelekwa Bugando lakini alifariki saa chache baadaye.

Amesema Luponya atazikwa leo nyumbani kwake Bugalama huku taratibu za mazishi ya Magomamoto zikiendelelea kufanywa na chama hicho kwa kushirikiana na familia yake.

Magomamoto alikuwa diwani wa Buziku kuanzia 2010 hadi 2020 na mwaka 2010 hadi 2015 alikuwa makamu mwenyekiti wa baraza la madiwani.

Katibu mwenezi wa CCM wilaya ya Geita, Jonathan Masele amesema kifo cha Luponya ni pigo kwa CCM na jamii iliyokuwa ikimzunguka.

Luponya wakati wa uhai wake alikua akisomesha wanafunzi 50 wa sekondari na 20 wa ualimu sambamba na kutoa huduma mbalimbali za kijamii kwenye kata hiyo.

Chanzo: Mwananchi
Ahimidiwe Mungu aliyeamua kuhitimisha ukomo wao maana imeandikwa mshukuruni Mungu kwa kila jambo.

Uchaguzi peke yao ni wazi watapata mwanaccm mwenzao tena maana Meko ashasema wapinzani wanachelewesha maendeleo.
 
Haya sasa, uchaguzi mdogo kabla hata ya uapisho.
---
Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Geita kimepata pigo baada ya madiwani wake wawili wateule kufariki dunia kwa nyakati tofauti wakati wakipatiwa matibabu katika hospitali ya Bugando jijini Mwanza.

Akizungumza na Mwananchi Digital leo Jumamosi Novemba 7, 2020 katibu mwenezi wa CCM mkoani Geita, David Azaria amewataja madiwani hao wateule kuwa ni Masalu Luponya (Bugalama) na Magomamoto Zanziba (Buziku).

Azaria amesema Luponya aliugua wakati wa kampeni na hata siku ya uchaguzi Oktoba 28, 2020 alipigiwa kura na wananchi akiwa amelazwa hospitali ya Bugando.

Amesema Magomamoto aliugua ghafla juzi na alipelekwa Bugando lakini alifariki saa chache baadaye.

Amesema Luponya atazikwa leo nyumbani kwake Bugalama huku taratibu za mazishi ya Magomamoto zikiendelelea kufanywa na chama hicho kwa kushirikiana na familia yake.

Magomamoto alikuwa diwani wa Buziku kuanzia 2010 hadi 2020 na mwaka 2010 hadi 2015 alikuwa makamu mwenyekiti wa baraza la madiwani.

Katibu mwenezi wa CCM wilaya ya Geita, Jonathan Masele amesema kifo cha Luponya ni pigo kwa CCM na jamii iliyokuwa ikimzunguka.

Luponya wakati wa uhai wake alikua akisomesha wanafunzi 50 wa sekondari na 20 wa ualimu sambamba na kutoa huduma mbalimbali za kijamii kwenye kata hiyo.

Chanzo: Mwananchi
Mwenyezi Mungu hawapumzishe kwa amani
 
Mungu ni hakimu anae hukumu kwa haki.
Hayo ni mawazo yako..yaheshimiwe!
Ila sidhani kwamba Mungu anahusika na mambo yenu ya uchaguzi, kiasi cha kuwalipizia kwa kuua watu.

Yeye amevuna kwa mujibu wa taratibu zake..kwamba alikuwa anasubiri kuapishwa au la, hilo halimhusu.
 
Unapokua mbinafsi kiasi cha kujiwazia wewe mwenyewe, peke yako, bila kujali leo ya maskini wasiokua na hata umeme wa kuchaji kitochi, bila kuijali kesho ya wajukuu na vitukuu zako, bila kujali kesho ya nchi yako lazima fikra zitakua chini sana.
Tuombeane uzima na sio vifo kama wanavyofanya.... najua ipo siku wataelewa
😂😂😂😂😂😂😂hapo umechomelea mulemule. Lakini kwa vile akili zao hazina akili wacha waendelee kulala kwenye nyumba za watu.
 
Back
Top Bottom