The situation is getting worst...kwa nini Qattara asimuachie Gabgo aongoze for the sake of wananchi? itamsaidia nini nchi ikiiningia kwenye machafuko? na yeye pia ana uchu wa madaraka.
Inasemekana jamaa kanunuliwa na whites kumtangaza Quattara mshindi. Wazungu wana maslah yao binafsi na ndio maana wameng'ang'ania Gabgo atoke manake hawamtaki...kwa nini hawa International forces waelemee upande mmoja tu??
Tuna uhakika gani kuwa Qattara ni mshindi halali wa uraisi?
The situation is getting worst...kwa nini Qattara asimuachie Gabgo aongoze for the sake of wananchi? itamsaidia nini nchi ikiiningia kwenye machafuko? na yeye pia ana uchu wa madaraka.
Maaskari wa UN wanafanya nini Ivory Coast?
Uzao wa CCM utaujua tu
The situation is getting worst...kwa nini Qattara asimuachie Gabgo aongoze for the sake of wananchi? itamsaidia nini nchi ikiiningia kwenye machafuko? na yeye pia ana uchu wa madaraka.
Alitanganzwa na tume iliyosimamia uchaguiziInasemekana jamaa kanunuliwa na whites kumtangaza Quattara mshindi. Wazungu wana maslah yao binafsi na ndio maana wameng'ang'ania Gabgo atoke manake hawamtaki...kwa nini hawa International forces waelemee upande mmoja tu??
Tuna uhakika gani kuwa Qattara ni mshindi halali wa uraisi?
Alitanganzwa na tume iliyosimamia uchaguizi