Gazeti Mzalendo: TRA yamwita DR. Slaa fisadi, halipi kodi

Pasco_jr_ngumi

JF-Expert Member
Nov 20, 2010
1,802
282
Wakubwa,
gazeti la leo la Magamba-Mzalendo, limeandika hyo habari!

Tena mshahara wa Dr. Slaa ni sh.1,700,000 na wamesema hauna kodi.

Wamesema chadema haijalipa kodi tangu 1992. Na wamedai walipe haraka sana pamoja na adhabu.

My take: TRA WALIKUWA WAPI hadi wakurupuke leo kutoa hyo taarfa? Majungu hayaish yaan hadi TRA yaingia katka siasa!
 
Wakubwa,
gazeti la leo la Magamba-Mzalendo, limeandika hyo habari!

Tena mshahara wa Dr. Slaa ni sh.1,700,000 na wamesema hauna kodi.

Wamesema chadema haijalipa kodi tangu 1992. Na wamedai walipe haraka sana pamoja na adhabu.

My take: TRA WALIKUWA WAPI hadi wakurupuke leo kutoa hyo taarfa? Majungu hayaish yaan hadi TRA yaingia katka siasa!
Haijalipa kodi gani tangu 1992? kodi ya mshahara wa Slaa au PAYE za mishahara ya wafanyakazi wote?

Ukiwa ****** mwili mzima inakubidi usivae suti, inakubidi ujifunike gubigubi mwili mzima. TRA wanaanza kuonyesha sehemu zao za Makalio wakifikiri wamevaa nguo stmart!!
 
Wakubwa,
gazeti la leo la Magamba-Mzalendo, limeandika hyo habari!

Tena mshahara wa Dr. Slaa ni sh.1,700,000 na wamesema hauna kodi.

Wamesema chadema haijalipa kodi tangu 1992. Na wamedai walipe haraka sana pamoja na adhabu.

My take: TRA WALIKUWA WAPI hadi wakurupuke leo kutoa hyo taarfa? Majungu hayaish yaan hadi TRA yaingia katka siasa!

TRA pia watuambie je, Rais Kikwete na viongozi wote wa juu wa serikali (waziri mkuu, na makamu wa rais) wanalipa kodi kutokana na mapato yao ya mishahara na posho? Ninavyofahamu mimi ni kwamba hawalipi kwa sababu sheria imewaengua kutokulipa kodi. Hizi ni sheria za hovyo kabisa. Rais na kiongozi yeyote anapaswa kuwa mfano bora kwa kulipa kodi kama wananchi wengine wafanyavyo. Ni makosa makubwa kutunga sheria inayozuia mshahara wa Rais, Waziri Mkuu na Makamu wa Rais kutolipa kodi. Ikizingatia kuwa hao ndio watumishi wenye mapato makubwa kuliko watumishi wengine. Labda kuna haja ya wabunge wetu kuiangalia upya sheria hiyo.
 
TRA inatumika kisiasa na ndiyo maana mapato yanapungua sana kutokana na mafisadi wa watu wa magamba. Chademana viongozi wake wanaingizwa humo kama kiini macho kwani wafanyabiashara wakubwa wasiolipa kodi ni wale wa magamba. Siamini umasikini wa nchi hii unaletwa na kutolipa kodi kwa Dr Slaa.

Halafu ajabu ni gazeti hili, Jamba Leo na Habari Leo ndo huandika habari hizi, na siyo yale husomwa na mamilioni ya watu.
 
Wakubwa,
gazeti la leo la Magamba-Mzalendo, limeandika hyo habari!

Tena mshahara wa Dr. Slaa ni sh.1,700,000 na wamesema hauna kodi.

Wamesema chadema haijalipa kodi tangu 1992. Na wamedai walipe haraka sana pamoja na adhabu.

My take: TRA WALIKUWA WAPI hadi wakurupuke leo kutoa hyo taarfa? Majungu hayaish yaan hadi TRA yaingia katka siasa!

Rostam, Mkono, Chenge, Mkapa na mafisadi wengine ndani ya CCM na mapato yao haramu wanalipa kodi kiasi gani kwa mwaka? TRA ikikubali kutumika kisiasa na CCM ndio mwanzo wa taasisi hii muhimu kushindwa kutekeleza kazi zake za kukusanya kodi bila upendeleo. Wameshindwa kukusanya kodi ya shilingi bilioni 500 toka airtel! sasa wanafuatilia kodi ya mshahara wa shilingi 1.7 millioni!
 
Ridhi1 kila uchao anangiza malori na makontena bandarini kimagendo...Kinana na meli zake ndio usiombe!! Kiufupi sector nyingi Serikalini ni blacklist corrupted, Wakianza kwa Slaa,waende na kwingineko!!
 
Rostam, Mkono, Chenge, Mkapa na mafisadi wengine ndani ya CCM na mapato yao haramu wanalipa kodi kiasi gani kwa mwaka?

Mkuu hilo dogo, M.kwere na TRA yake watuambie yule bwana wa Home Shopping Center analipa kodi kiasi gani ukilinganisha na containers za nguo anazoingiza kutoka china?

Wasituletee upuuzi hapa wakati tunajua containers zinapita bure tu pale au kulipiwa ushuru kidogo sana. Kama mali ya 90m inapita kwa ushuru wa 2m unafikiri hii nci inaenda wapi?
 
Inabidi Dr. Slaa na CHADEMA wajibu shutuma, na TRA nao wajibu shutuma za kwamba wanatumia hili suala kisiasa kwa kutueleza kigezo kipi kilitumika kumtaja Dr. Slaa kati ya wasiolipa kodi wote.
 
Inabidi Dr. Slaa na CHADEMA wajibu shutuma, na TRA nao wajibu shutuma za kwamba wanatumia hili suala kisiasa kwa kutueleza kigezo kipi kilitumika kumtaja Dr. Slaa kati ya wasiolipa kodi wote.

Sijaelewa hapa. Wana JF naomba mnieleweshe. Yaani hajalipa kodi tangia mwaka 1992, wakati yeye amejiunga na CHADEMA 1995, na amekuja kuwa katibu mkuu baadaye sana. Au wanamaanisha mshahara wake wa tangu November mwaka jana alipogombea urais? Lakini pia, hivi kati ya mwajiri na mwajiliwa, je ni nani anayetakiwa kubanwa kuhusu kama mwajiriwa analipa kodi au la? Kwa mfano, mimi huwa nakatwa kodi, lakini sijawahi kwenda TRA kubisha hodi ili nilipe kodi, huwa inakatwa automatically tu kabla hata mimi sijaugusa mshara wangu. Au wanamaanisha CHADEMA kama chama ndo hailipi kodi? Na kama ndio hilo wao TRA wanawajibikaje kwa kutokusanya kodi tangia mwaka 1992 kwene chama ambacho kina usajili na kinafanya kazi kila siku? Na je hali ikoje vyama vingine vya siasa?
 
Sasa nani alaumiwe hapo? Au kazi ya TRA ni nini? Unapoongea hadharani unahitaji kutumia akili sana, yawezekana anayekusifu ni mkeo peke yake, wengine wote wanakudharau!!
Kama TRA imeshindwa kukusanya kodi toka 1992 basi hiyo ni kashfa kubwa kwa TRA sio kwa CDM!
 
Kama TRA wana hoja wanatakiwa kufungua kesi mahakamani lakini kabla ya hapo wanatakiwa kuleta madai yao kwa mhusika. Walete madai na ushahidi wao na jamaa akiona si ya haki na akakataa wanafungua kesi mahakamani ambapo ushahidi wao unatoolewa. Remember, the burdern of proof haiko kwa Slaa iko kwa TRA. Slaa anaweza kuserma "mnasema uongo" wao wathibitishe kuwa wanasema kweli.
 
Wamemtafuta dr.Slaa kwa kola njia wameona hiyo ndiyo njia ya kuchafua lakini haina uzito wao TRA walkouts wapi siku zote kufuatilia kodi ndiyo waje kuibuka saa Gozo?
Wakati kuna watu hawalipi mabilioni ya sh. Wanafuatilia 1.7 tu ya sh.?
 
Huyu Slaa PhD ya kanoni isiyoukuwa na digrii hata maja si ndio anajidai kutetea umma? Kumbe mwenyewe mbabaishaji halipi kodi? Looooo! Yatamshinda.
 
Huyu Slaa PhD ya kanoni isiyoukuwa na digrii hata maja si ndio anajidai kutetea umma? Kumbe mwenyewe mbabaishaji halipi kodi? Looooo! Yatamshinda.
We nae huachi mambo ya kwenu Uswazi?

Ongea Kiswahili tuelewe wote hoja yako basi!

'Kanoni' ni nini?...mbilimbi mnazochaji juani pale kwa Mnyamani?

Kuna uhusiano gani kati ya Canon Law na kodi?
Tumia akili bana!
 
hawajalipa kodi toka mwaka 1992?
Halafu wana jiita TRA?
all those years walikua wapi?
kuna watu wangapi wasio watanzania wameingia nchini
na kufanya biashara bila kulipa kodi na wakaondoka kama TRA hawako makini kiasi hiki?
kinacho lipa kodi ni chama cha siasa kama chama au ni chama kupitia vitega uchumi
kinavyo miliki?
chadema ina vitega uchumi gani?
vyama gani vingine havijalipa kodi au ni chadema peke yake?
Miaka yote walikua wapi?

Wapuuzi hawa,....
Anyway,kama anadaiwa alipe kweli (tatizo ni siasa ndani ya utendaji katika TRA)
 
Huyu Slaa PhD ya kanoni isiyoukuwa na digrii hata maja si ndio anajidai kutetea umma? Kumbe mwenyewe mbabaishaji halipi kodi? Looooo! Yatamshinda.

gamba gamba gamba gamba gamba gamba gamba gamba gamba gamba gamba gamba. Hili gamba inabidi lilowekwe kwenye maji ya moto ambao umewashwa na makaa ya mawe..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom