Pasco_jr_ngumi
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 1,802
- 282
Wakubwa,
gazeti la leo la Magamba-Mzalendo, limeandika hyo habari!
Tena mshahara wa Dr. Slaa ni sh.1,700,000 na wamesema hauna kodi.
Wamesema chadema haijalipa kodi tangu 1992. Na wamedai walipe haraka sana pamoja na adhabu.
My take: TRA WALIKUWA WAPI hadi wakurupuke leo kutoa hyo taarfa? Majungu hayaish yaan hadi TRA yaingia katka siasa!
gazeti la leo la Magamba-Mzalendo, limeandika hyo habari!
Tena mshahara wa Dr. Slaa ni sh.1,700,000 na wamesema hauna kodi.
Wamesema chadema haijalipa kodi tangu 1992. Na wamedai walipe haraka sana pamoja na adhabu.
My take: TRA WALIKUWA WAPI hadi wakurupuke leo kutoa hyo taarfa? Majungu hayaish yaan hadi TRA yaingia katka siasa!