babu umemalizana na eliza ?wanasemaga mtu akiondolewa bandama huwa hachekagi.....
Leo mbona nimecheka?
Khaaaaa!:nerd:
halafu rejao mbona unapendwa sana humu jf?halafu hii kama vile ina kaukweli flani. Inabidi tuiondoe kwenye udaku
Napenda kuwa mtu wa msimamo, napenda pia kitu chenye msimamo. Siwezi kujiunga na chama cha sitaki nataka! Chama ambacho kila mtu anajiamulia cha kufanya. Chama ambacho kinanunulika kwa bei chee!I cant wait 4 this..frm Rejao
udaku tu huombavu zangu mimi jamani eeeh.
Usiongee kabisa hivyo Smile! Kule jukwaa la siasa mi ndio mtu nayechukiwa kuliko wote!!!halafu rejao mbona unapendwa sana humu jf?
Devil Ivuga akutwa Mombasa akiuza nyago..Vinyago vyenyewe vinasadidikika kuibiwa kwenye Jumba la makumbusho DSMrejao anywa vidonge vya kuongeza masaburi..yaongezeka ghafla ..daktari ampa vidonge ajichaganya anywa viagra badala ya vidonge alivyopewa na dk
Napenda kuwa mtu wa msimamo, napenda pia kitu chenye msimamo. Siwezi kujiunga na chama cha sitaki nataka! Chama ambacho kila mtu anajiamulia cha kufanya. Chama ambacho kinanunulika kwa bei chee!
why dear? Ngoja nikuulize kitu hili swala la wabunge kuongezewa posho wewe maoni yako ni nini? Nitajua nani mchokozi wewe au wao .niambie dear kabla hawajajausiongee kabisa hivyo smile! Kule jukwaa la siasa mi ndio mtu nayechukiwa kuliko wote!!!
hahahahahah nimecheka....this is the best thread aisee hahaha
dr riwa afumaniwa na mama mjamzito adai alikuwa anamkanda tumbo mtoto kakaa vibaya
Rejao afanyiwa plastic surgery ya masaburi madaktari wakosea wamdunga sindano ya cement
KIZAAZAA JF MOD ARRAY ACHOKA KUSOMA PM AZIACHIA KWA MEMBER WOTE PM ZAANIKWA HALI TETE JF WATU WOTE WALOG OFF WAJA NA ID MPYA
nitaendelea badae
Hapana, nimehamishia kambi hapa kwenye gazeti.........!!babu umemalizana na eliza ?
tupe newshapana, nimehamishia kambi hapa kwenye gazeti.........!!
Mimi hili suala siwezi kuliongelea hapa kwenye mambo ya udaku! Labda tukiwa kule kunapohusikawhy dear? Ngoja nikuulize kitu hili swala la wabunge kuongezewa posho wewe maoni yako ni nini? Nitajua nani mchokozi wewe au wao .niambie dear kabla hawajaja
Bora kile kuliko hiki ambacho kila mtu ni mjuaji!!
Mhh stori za hujaacha tu?? kile chama cha mapanga ndicho bei cheee..kimeniunuliwa huko zanzibar