TANMO
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 11,467
- 11,166
Kutokana na kwamba JF imeweza kuwa mtandao mkubwa ambao imetokea kuwepo hata Masupastaa wake nadhani ni muda mwafaka kwa wajasiriamali tukaanzisha Gazeti letu ambalo litakuwa linatoa habari kuhusu watu maarufu wa Jf, nina imani tutapata soko.
hebu fikiria vichwa vya habari kama:
--"Siwezi kuchangia mada bila kuvuta msuba" King'asti
--"Sitaki mwingine, wa sasa ananitosha" Nazjaz
--Nyani Ngabu abaka tena, madaktari wasema tatizo lake linatibika
--Kongosho aapa kunywa sumu iwapo atamkosa The Boss
--Mzee Mwanakijiji afumaniwa na Agel Msoffe wakiwa katika mkao wa hatari
--"Marafiki zangu wote ni wanafiki" - Lizzy
--"Ninamzimia sana Invizibo" - Mamndenyi
--Mzee Mtambuzi akiri kumsaliti mkewe mara kumi
--"Nimashatembea na wanawake 1000" - Bishanga
--Figanigga aka mzee wa Mia apata kimwana mpya, asema ndoa ni kabla ya mwaka mpya
--Kumbe na usista duu wake wote Husninyo anaishi kwa mikopo!!!!
--The Finest agonganisha vimwana, mwenyewe aingia mitini , tifu zito latokea
--"Nilianza kunywa pombe nikiwa na miaka mitatu" - Babu Asprin
--Asilimia kubwa ya waumini wangu ni Wanawake - Rev Masanilo
--PAW amlima Ban Washawasha kwa kulog off kila mara
--Saint Ivuga anyang'anywa mke
Hivyo ni kwa uchache tu, wazo hilo kwa yeyote ambaye yuko interestedi awasiliane na mimi tuanze utaratibu wa kulisajili Gazeti letu kabla ya mwaka mpya..
Mapendo.
TANMO
hebu fikiria vichwa vya habari kama:
--"Siwezi kuchangia mada bila kuvuta msuba" King'asti
--"Sitaki mwingine, wa sasa ananitosha" Nazjaz
--Nyani Ngabu abaka tena, madaktari wasema tatizo lake linatibika
--Kongosho aapa kunywa sumu iwapo atamkosa The Boss
--Mzee Mwanakijiji afumaniwa na Agel Msoffe wakiwa katika mkao wa hatari
--"Marafiki zangu wote ni wanafiki" - Lizzy
--"Ninamzimia sana Invizibo" - Mamndenyi
--Mzee Mtambuzi akiri kumsaliti mkewe mara kumi
--"Nimashatembea na wanawake 1000" - Bishanga
--Figanigga aka mzee wa Mia apata kimwana mpya, asema ndoa ni kabla ya mwaka mpya
--Kumbe na usista duu wake wote Husninyo anaishi kwa mikopo!!!!
--The Finest agonganisha vimwana, mwenyewe aingia mitini , tifu zito latokea
--"Nilianza kunywa pombe nikiwa na miaka mitatu" - Babu Asprin
--Asilimia kubwa ya waumini wangu ni Wanawake - Rev Masanilo
--PAW amlima Ban Washawasha kwa kulog off kila mara
--Saint Ivuga anyang'anywa mke
Hivyo ni kwa uchache tu, wazo hilo kwa yeyote ambaye yuko interestedi awasiliane na mimi tuanze utaratibu wa kulisajili Gazeti letu kabla ya mwaka mpya..
Mapendo.
TANMO