mwakijembe
JF-Expert Member
- Mar 20, 2017
- 1,638
- 2,293
Bavicha humo kichwani mnavuga nini?So ndege zote hizi Magufuli anatoa hela yake mfukoni?
Eh mwanafunzi wa Prof Shivij tuambie huko kwenye Jungle kuna nn?
Hypocrisy is the biggest sin ever.No sio mtegoni bali huu ndio ukweli wenyewe wa hali halisi ya media tunayopitia sasa ya the law of the jungle. Only the strong and the adaptive media ndio wata survive, Jamhuri wako fit ndio maana wamesurvive, wapi MwanaHalisi?.
Survival is everything!. Mimi mwenyewe na kale ka PPR changu, tuko ICU tunapumulia mishine!.
P
umeona ee? uwezo wa kufikir wa wengi wao ni kimo cha mbuziMsiwe mnatuletea hoja za kijinga kama hizi halafu mnajifanya Great Thinkers hata kama mmiliki na mods ni wana Chadema kama ninyi.
When you have no option and you are forced to choose between the two devils, you choose the lesser!, hata yale mambo aliyofanyiwa Mwana wa Adamu, unadhani alipenda?. Yule alikuwa ni Mwana wa Mungu, na ni Mungu pamoja nasi and yet shetani alimsulubisha!. Unajua kabla hajasulubiwa alisema nini?. "Ingekuwa ni amri yangu, ningetaka kikombe hiki kiniepuke, lakini mapenzi ya Bwana, yatimizwe", unafikiri alipenda kusulubiwa?.Hypocrisy is the biggest sin ever.
When you have no option and you are forced to choose between the two devils, you choose the lesser!, hata yale mambo aliyofanyiwa Mwana wa Adamu, unadhani alipenda?. Yule alikuwa ni Mwana wa Mungu, na ni Mungu pamoja nasi and yet shetani alimsulubisha!. Unajua kabla hajasulubiwa alisema nini?. "Ingekuwa ni amri yangu, ningetaka kikombe hiki kiniepuke, lakini mapenzi ya Bwana, yatimizwe", unafikiri alipenda kusulubiwa?.
When you have a choice ya kujifanya shujaa na kushupaa na kusulubiwa hadi kifo, au kukubali kushirikiana na kuendelea kuishi utachagua kipi?.
Elections 2015 - Tuko Vitani Tuna Wapiganaji Shupavu, Wapiganaji Makini na Watazamaji, Je! Wewe Uko Kundi Gani ?
Wanabodi Siasa za Tanzania ni kizungumkuti!. Ni siasa za ubabe, uongo, chuki, fitna na kukomoana badala ya kuleta maendeleo. Chama tawala CCM ni chama dola, hivyo kinatumia uchama tawala wake kwa kutumia nguvu ya vyombo vya dola kunyanyasa wapinzani na kutumia mbinu safi na chafu kushinda...www.jamiiforums.com P.Elections 2015 - If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's pray for him!
Wanabodi, Dr. John Pombe Joseph Magufuli ndiye mshindi wa urais Tanzania kwa mwaka huu wa 2015-2025 and may be more!, anayesubiri tuu kutangazwa rasmi na kuapishwa. Nimesema 2015 -2025 sio kwa bahati mbaya as if hakuna uchaguzi 2020, no!, nimesema 2015-2025 kwa sababu huu ndio ukweli...www.jamiiforums.com
Hoja hupingwa kwa hoja. Halikadhalika utafiti hupingwa kwa utafiti! Je, unaijua historia ya hospitality ya muhimbili? Unajua hati ya eneo lile iko wapi na inamilikiwa na dhehebu gani? Kwa taarifa yako hatimiliki ya muhimbili no Mali ya dhehebu Moja LA kidini na serikali Ina hisa tu kama ilivyo kwa bugando na kcmc! Hivyo usijisifu na kuisifu serikali kwa kuwa na hisa badala ya umiliki kamili! Praiser mkubwa wewe eeh!Basi walishindwa sasa. Hata hospital yao ya KCMC ilishindwa kumtibu.Ikabidi itumike ndege ya magufuli na hospital ya magufuli.
Watu wanafikiri unataka uDC kumbe unatetea 'ka PPR' kako kasife kibudu! Zile mbwembwe za kusema kodi ya mengi tu ni zaidi ya mshahara wa DC zimekufa kibudu pia hahahahahahNo sio mtegoni bali huu ndio ukweli wenyewe wa hali halisi ya media tunayopitia sasa ya the law of the jungle. Only the strong and the adaptive media ndio wata survive, Jamhuri wako fit ndio maana wamesurvive, wapi MwanaHalisi?.
Survival is everything!. Mimi mwenyewe na kale ka PPR changu, tuko ICU tunapumulia mishine!.
P
Uwezo sio kila kitu mjomba; wakati mwingine unatumia connections zako muhimu kumaliza mambo bila Kwere! ndio maana walipiga simu kwa JPM kurahisisha mambo, inawezekana hata hiyo operesheni kubwa ya usiku wa manane ya baba Askofu mkuu Yuda Tadei iliwezekana kutokana na njia waliyoitumia! sijui; hakuna ubaya hapo bali ni ukweli wa maisha. if they have the connections why not use them?! chezea wakatoliki wewe!Nimemtazama kwenye kipindi cha kipima joto cha ITV kiongozi wa gazeti la Jamhuri lililo jizolea sifa za kuibua ufisadi na mambo ya hovyo yaliyokuwa yanafanywa na viongozi mbalimbali akiingia kwenye mtumbwi wa kuhubiri siasa za kuunga mkono nimeshangaa sana.
Eti anasema kusingekuwepo na ndege za serikali yule askofu aliyekuwa amelazwa MOI asingepona!!!!
Huu ni upotoshaji wa hali ya juu maana naamini wakatoriki hawawezi kushindwa kukodi ndege ya kumuwahisha kiongozi wao ili kupatiwa matibabu ili kunusuru uhai wake.
Nilikuwa nalipwa 7 future pale FCO nikaacha mwenyewe kwasababu I was rolling 8 figure just on Saba Saba alone!. Nilipanga nyumba nzima ya NHC pale Mkwepu for kodi ya pango zaidi ya mshahara wa DC, 20 staff, I was very sure of myself, niliweza kusema chochote popote na kwa yeyote bila kujali who is who thinking I was independent and I depend on me, myself and I.Watu wanafikiri unataka uDC kumbe unatetea 'ka PPR' kako kasife kibudu! Zile mbwembwe za kusema kodi ya mengi tu ni zaidi ya mshahara wa DC zimekufa kibudu pia hahahahahah
Kuna kitu kimoja Pasco ulikosea nayo ni kutumia verified user hapa jf, halafu kule uraiani ungebaki tu kusifu ili familia ipate mkateNilikuwa nalipwa 7 future pale FCO nikaacha mwenyewe kwasababu I was rolling 8 figure just on Saba Saba alone!. Nilipanga nyumba nzima ya NHC pale Mkwepu for kodi ya pango zaidi ya mshahara wa DC, 20 staff, I was very sure of myself, niliweza kusema chochote popote na kwa yeyote bila kujali who is who thinking I was independent and I depend on me, myself and I.
Kibao kilivyogeuka, Mkwepu nilihama, nikajamia Posta House kwenye kajichumba.
15 heads lay off!. Kamba wanaendelea kukaza, hivyo mkisikia hata mimi nime...
Nawaombeni sana msinishangae!.
P.
Mimi ni mkweli sana, tangu nimejiunga jf, sijawahi kutumia jina la bandia, Pasco ndio Pascal,Kuna kitu kimoja Pasco ulikosea nayo ni kutumia verified user hapa jf, halafu kule uraiani ungebaki tu kusifu ili familia ipate mkate
Hizi "sentiments" zenye harufu ya udini ni hatari sana kwa utaifa wetu. Hivi ndege ya Rais imeshawahi kutumika kusafirisha wagonjwa? Mbunge kapigwa risasi, tena akiwa ktk shughuli za kibunge Dodoma, hii huruma haikuonyeshwa kabisa.Basi walishindwa sasa. Hata hospital yao ya KCMC ilishindwa kumtibu.Ikabidi itumike ndege ya magufuli na hospital ya magufuli.
Mungu akupiganie usifutike na kuacha kuwasemea waliozibwa midomo.No sio mtegoni bali huu ndio ukweli wenyewe wa hali halisi ya media tunayopitia sasa ya the law of the jungle. Only the strong and the adaptive media ndio wata survive, Jamhuri wako fit ndio maana wamesurvive, wapi MwanaHalisi?.
Survival is everything!. Mimi mwenyewe na kale ka PPR changu, tuko ICU tunapumulia mishine!.
P
Basi walishindwa sasa. Hata hospital yao ya KCMC ilishindwa kumtibu.Ikabidi itumike ndege ya magufuli na hospital ya magufuli.
Hoja hupingwa kwa hoja. Halikadhalika utafiti hupingwa kwa utafiti! Je, unaijua historia ya hospitality ya muhimbili? Unajua hati ya eneo lile iko wapi na inamilikiwa na dhehebu gani? Kwa taarifa yako hatimiliki ya muhimbili no Mali ya dhehebu Moja LA kidini na serikali Ina hisa tu kama ilivyo kwa bugando na kcmc! Hivyo usijisifu na kuisifu serikali kwa kuwa na hisa badala ya umiliki kamili! Praiser mkubwa wewe eeh!
Kitambo ulizisoma alama na majina mengi ukapewa hata wengine kukuchukia... kunguru mwoga...No sio mtegoni bali huu ndio ukweli wenyewe wa hali halisi ya media tunayopitia sasa ya the law of the jungle. Only the strong and the adaptive media ndio wata survive, Jamhuri wako fit ndio maana wamesurvive, wapi MwanaHalisi?.
Survival is everything!. Mimi mwenyewe na kale ka PPR changu, tuko ICU tunapumulia mishine!.
P