Gazeti la Jamhuri nalo limeingia mtegoni

Gazeti la Jamhuri nalo limeingia mtegoni

Kanisa Katoriki ni Serikali...wana uwezo wa kumtibu askofu wao popote pale duniani na kwa gharama yoyote ile na kwa usafiri wowote ule wa kukodi .. eti ndege imemuokoa mawee!!
 
Nimemtazama kwenye kipindi cha kipima joto cha ITV kiongozi wa gazeti la Jamhuri lililo jizolea sifa za kuibua ufisadi na mambo ya hovyo yaliyokuwa yanafanywa na viongozi mbalimbali akiingia kwenye mtumbwi wa kuhubiri siasa za kuunga mkono nimeshangaa sana.

Eti anasema kusingekuwepo na ndege za serikali yule askofu aliyekuwa amelazwa MOI asingepona!!!!
Huu ni upotoshaji wa hali ya juu maana naamini wakatoriki hawawezi kushindwa kukodi ndege ya kumuwahisha kiongozi wao ili kupatiwa matibabu ili kunusuru uhai wake.
Kiongozi wa Gazeti la Jamuhuri yupo sahihi kabisa kwa kutambua juhudi za Rais wetu Dkt J.P.Magufuli.
 
Uoga uoga uoga uoga umetamalaki kila kona ya nchi
Mhariri wao si ndio alifariki majuzi kwa kuumwa tumbo?

Hilo tumbo hatujui alilishwa nini na nani....

Nadhani waliobaki ndio wameanza kuwa dizaini ya NDIO MZEE kwa sababu kilichomtokea yule kisimtokee anayekaimu uhariri for now.

Mawazo yangu tu though.
 
Kanisa Katoriki ni Serikali...wana uwezo wa kumtibu askofu wao popote pale duniani na kwa gharama yoyote ile na kwa usafiri wowote ule wa kukodi .. eti ndege imemuokoa mawee!!
Sasa mbona Ruwaich walishindwa kumleta muhimbili!!!
 
Hakika jamaa kajidharaulisha kabisa
Kanisa Katoriki ni Serikali...wana uwezo wa kumtibu askofu wao popote pale duniani na kwa gharama yoyote ile na kwa usafiri wowote ule wa kukodi .. eti ndege imemuokoa mawee!!
 
Eti anasema kusingekuwepo na ndege za serikali yule askofu aliyekuwa amelazwa MOI asingepona!!!!
Huu ni upotoshaji wa hali ya juu maana naamini wakatoriki hawawezi kushindwa kukodi ndege ya kumuwahisha kiongozi wao ili kupatiwa matibabu ili kunusuru uhai wake.
Kwa hiyo kikichokuuma ni mdau kutaja ndege za Serikali sio?. Basi msamehe bure, ni ndege za kampuni binafsi.
 
Ni huyo msemaji kusema kuwa bila hizo ndege kununuliwa huyo mgonjwa angepoteza maisha kwa kutegemea ambulance
Kwa hiyo kikichokuuma ni mdau kutaja ndege za Serikali sio?. Basi msamehe bure, ni ndege za kampuni binafsi.
 
Utaambiwa kuwa hao ndiyo wazalendo[emoji3][emoji3]
"NDEGE YA MAGUFULI"
"HOSPITAL YA MAGUFULI"
Akili za Watanganyika zinawatosha wenyewe!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom