Gazeti la Jamhuri nalo limeingia mtegoni

Gazeti la Jamhuri nalo limeingia mtegoni

Basi walishindwa sasa. Hata hospital yao ya KCMC ilishindwa kumtibu.Ikabidi itumike ndege ya magufuli na hospital ya magufuli.
Magufuli hajawahi kujenga hospitali yake mahali popote nchini Tanzania , uongo wa kipumbavu hatutoukubali
 
Nasikia moja leo hii huko mwanza imelazimika kurejea mwanza baada ya kuishiwa nguvu[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]

Si unafurahi sio, kwa sababu moja tu imenunuliwa na Magufuli eeh! Noma asee! Alafu ukiona inampa credit Magufuli unachukia unasema ni ya Wananchi.

Mzee my advice, never be too serious with politics or you are reducing your life here, always full of jealous, anger, denial.

Heh!.
 
Wewe jamaa unavituko sana yaani unanilazimisha niamini unavyotaka wewe na kunitolea vitisho vya kunitoa uhai?
Si unafurahi sio, kwa sababu moja tu imenunuliwa na Magufuli eeh! Noma asee! Alafu ukiona inampa credit Magufuli unachukia unasema ni ya Wananchi.

Mzee my advice, never be too serious with politics or you are reducing your life here, always full of jealous, anger, denial.

Heh!.
 
Huu ni upotoshaji wa hali ya juu maana naamini wakatoriki hawawezi kushindwa kukodi ndege ya kumuwahisha kiongozi wao ili kupatiwa matibabu ili kunusuru uhai wake.
Wakatoliki hawashindwi kukodi ndege na ndege za kukodi zipo nyingi tu, lakini busara ikawatuma kumpigia simu Magufuli badala ya kukodi ndege kuwahi MOI.
 
No sio mtegoni bali huu ndio ukweli wenyewe wa hali halisi ya media tunayopitia sasa ya the law of the jungle. Only the strong and the adaptive media ndio wata survive, Jamhuri wako fit ndio maana wamesurvive, wapi MwanaHalisi?.
Survival is everything!. Mimi mwenyewe na kale ka PPR changu, tuko ICU tunapumulia mishine!.
P
🤭 🤭 pole mkuu
 
Wewe jamaa unavituko sana yaani unanilazimisha niamini unavyotaka wewe na kunitolea vitisho vya kunitoa uhai?

Hahahaha kuna vitisho vya kukutoa uhai humo. Hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahaha

Yameisha bana

Sorry kwa kukupotezea muda.
 
No sio mtegoni bali huu ndio ukweli wenyewe wa hali halisi ya media tunayopitia sasa ya the law of the jungle. Only the strong and the adaptive media ndio wata survive, Jamhuri wako fit ndio maana wamesurvive, wapi MwanaHalisi?.
Survival is everything!. Mimi mwenyewe na kale ka PPR changu, tuko ICU tunapumulia mishine!.
P
Pole kk Mayalla. Hili nalo litapita ....
 
Basi walishindwa sasa. Hata hospital yao ya KCMC ilishindwa kumtibu.Ikabidi itumike ndege ya magufuli na hospital ya magufuli.
MAGUFULI HANA HOSPITALI, WALA NDEGE VINGEKUWA VYA KWAKE KAMA ANGETOA PESA MFUKONI MWAKE
VYOOTE ANAVYOFANYA ANAFANYA KWA PESA ZAKO KARUME KENGE
TUNDU LISU ALISHAMBULIWA KWA MAAGIZO YA NYAPARA BWANA JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI
 
No sio mtegoni bali huu ndio ukweli wenyewe wa hali halisi ya media tunayopitia sasa ya the law of the jungle. Only the strong and the adaptive media ndio wata survive, Jamhuri wako fit ndio maana wamesurvive, wapi MwanaHalisi?.
Survival is everything!. Mimi mwenyewe na kale ka PPR changu, tuko ICU tunapumulia mishine!.
P
Law of the Jungle [emoji23]. Mwenye nguvu mpishe.... Kaka Pascal Mayalla nakuelewa sana. Pamoja na kwamba jina lako kwa lugha yetu ya Kisukuma maana yake ni NJAA lakini hata ulivyo sasa naelewa vizuri umekubali yaishe [emoji119]. Ila nitapingana nao wote wanaosema wewe una roho ya kikatili. Pamoja na ku- compromise bado una roho njema na ni mcha Mungu kwa kadiri ya uwezo wako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom