Gazeti la Jamhuri nalo limeingia mtegoni

Mmawia

JF-Expert Member
Aug 20, 2013
121,947
95,237
Nimemtazama kwenye kipindi cha kipima joto cha ITV kiongozi wa gazeti la Jamhuri lililo jizolea sifa za kuibua ufisadi na mambo ya hovyo yaliyokuwa yanafanywa na viongozi mbalimbali akiingia kwenye mtumbwi wa kuhubiri siasa za kuunga mkono nimeshangaa sana.

Eti anasema kusingekuwepo na ndege za serikali yule askofu aliyekuwa amelazwa MOI asingepona!!!!
Huu ni upotoshaji wa hali ya juu maana naamini wakatoriki hawawezi kushindwa kukodi ndege ya kumuwahisha kiongozi wao ili kupatiwa matibabu ili kunusuru uhai wake.
 
Watu mnajitoa akili kweli yaani hata bila aibu unaita mali za watanzania kuwa ni mali za mtu binafsi?
Magufuli yeye hizo mali kazipata wapi?

Kwa taarifa hizo ndege na hospitali ni mali za watanzania maana zimenunuliwa na kujengwa kwa kodi za watanzania
Basi walishindwa sasa. Hata hospital yao ya KCMC ilishindwa kumtibu.Ikabidi itumike ndege ya magufuli na hospital ya magufuli.
 
No sio mtegoni bali huu ndio ukweli wenyewe wa hali halisi ya media tunayopitia sasa ya the law of the jungle. Only the strong and the adaptive media ndio wata survive, Jamhuri wako fit ndio maana wamesurvive, wapi MwanaHalisi?.
Survival is everything!. Mimi mwenyewe na kale ka PPR changu, tuko ICU tunapumulia mishine!.
P
 
Kumbe Muhimbili ilikuwa ya Nyerere,Mwinyi, Mkapa, Kikwete na Sasa Magufuli...sikujua hilo
Nilidhani no Muhimbili National Hospital/ ,Muhimbili Referal Hospital. Hospital ya Taifa Muhimbili/ Hospitali ya Rufaa Muhimbili...whichever is essentially correct
Basi walishindwa sasa. Hata hospital yao ya KCMC ilishindwa kumtibu.Ikabidi itumike ndege ya magufuli na hospital ya magufuli.
 
Hao ndiyo walio amua kuunga mkono juhudi
Kumbe Muhimbili ilikuwa ya Nyerere,Mwinyi, Mkapa, Kikwete na Sasa Magufuli...sikujua hilo
Nilidhani no Muhimbili National Hospital/ ,Muhimbili Referal Hospital. Hospital ya Taifa Muhimbili/ Hospitali ya Rufaa Muhimbili...whichever is essentially correct
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom