Gazeti la Jamhuri nalo limeingia mtegoni

Gazeti la Jamhuri nalo limeingia mtegoni

Watu mnajitoa akili kweli yaani hata bila aibu unaita mali za watanzania kuwa ni mali za mtu binafsi?
Magufuli yeye hizo mali kazipata wapi?

Kwa taarifa hizo ndege na hospitali ni mali za watanzania maana zimenunuliwa na kujengwa kwa kodi za watanzania
Huko CCM yamejaa mazezeta tu.
 
Basi walishindwa sasa. Hata hospital yao ya KCMC ilishindwa kumtibu.Ikabidi itumike ndege ya magufuli na hospital ya magufuli.
Ndege za serikali na hospital nayo ya serikali . Maghufuli alishasema ndege siyo zake. Angalia hotuba yake wakati anazindua rada ni wiki mbili tu zilizopita.

Wewe unachosumbuliwa ni ulimbukeni
 
Ndege kweli ni ya Magufuli, lakini hospitali sio yake ni ya watanzania. Usichanganye vitu vya binafsi na umma.
Bavicha humo kichwani mnavuga nini?So ndege zote hizi Magufuli anatoa hela yake mfukoni?
 
Bila malimbukeni kama hawa ccm isingekuwepo Tanzania
Ndege za serikali na hospital nayo ya serikali . Maghufuli alishasema ndege siyo zake. Angalia hotuba yake wakati anazindua rada ni wiki mbili tu zilizopita.

Wewe unachosumbuliwa ni ulimbukeni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom