Gazeti la Jamhuri nalo limeingia mtegoni

Gazeti la Jamhuri nalo limeingia mtegoni

Hakika huko ndio kupatwa kwa mzazi
Wazazi tuna hasara, nao wako huko kijijini eti walizaa mtoto anaitwa sheiza! Mungu ni mwema kumshukuru kwa kila akupacho, lakini kwa hali hii afadhali kukaa bila mtoto ikajulikana kuwa sina mtoto kama mtoto ni wewe!
 
Basi walishindwa sasa. Hata hospital yao ya KCMC ilishindwa kumtibu.Ikabidi itumike ndege ya magufuli na hospital ya magufuli.
Mpuuzi wewe hospitali ya magufuli au ya taifa!.
Magufuli kaikuta hio hospitali na ataondoka na kuacha hio hospitali.
Huna akili,huna akili wewe
 
Ndiyo mazombie wa lumumba hao mkuu
Mpuuzi wewe hospitali ya magufuli au ya taifa!.
Magufuli kaikuta hio hospitali na ataondoka na kuacha hio hospitali.
Huna akili,huna akili wewe
 
Basi walishindwa sasa. Hata hospital yao ya KCMC ilishindwa kumtibu.Ikabidi itumike ndege ya magufuli na hospital ya magufuli.
Tunafundishana ukitoa sadaka yako kwa mkono wa kulia hata ule wa kushoto hautakiwi kufahamu; Serikali imefanya jambo jema kumsafiri Askofu Ruwaichi kuyafikia matibabu stahiki. Hakuna haja ya kuendelea kurejea tena hilo tukio ili Watanzania wote wafahamu maana lengo halikuwa hilo bali kuokoa maisha ya mgonjwa.
 
Kabisa na serikali ilikuwa inatimiza wajibu wake kwa raia lkn sasa naona waligeuza kuwa ni kama hisani
Tunafundishana ukitoa sadaka yako kwa mkono wa kulia hata ule wa kushoto hautakiwi kufahamu; Serikali imefanya jambo jema kumsafiri Askofu Ruwaichi kuyafikia matibabu stahiki. Hakuna haja ya kuendelea kurejea tena hilo tukio ili Watanzania wote wafahamu maana lengo halikuwa hilo bali kuokoa maisha ya mgonjwa.
 
Watu mnajitoa akili kweli yaani hata bila aibu unaita mali za watanzania kuwa ni mali za mtu binafsi?
Magufuli yeye hizo mali kazipata wapi?

Kwa taarifa hizo ndege na hospitali ni mali za watanzania maana zimenunuliwa na kujengwa kwa kodi za watanzania
Unajitoa ufahamu?
 
Mali zetu watanzania halafu yanakuja majuha ya lumumba yanajitoa ufahamu yanasema Mali zawatanzani nimali binafisi za Kichaa Mazingaombwe
 
No sio mtegoni bali huu ndio ukweli wenyewe wa the law of the jungle.
Jamhuri wako fit ndio maana wamesurvive, wapi MwanaHalisi?.
Survival is everything!.
P


Mhariri wao si ndio alifariki majuzi kwa kuumwa tumbo?

Hilo tumbo hatujui alilishwa nini na nani....

Nadhani waliobaki ndio wameanza kuwa dizaini ya NDIO MZEE kwa sababu kilichomtokea yule kisimtokee anayekaimu uhariri for now.

Mawazo yangu tu though.
 
Basi walishindwa sasa. Hata hospital yao ya KCMC ilishindwa kumtibu.Ikabidi itumike ndege ya magufuli na hospital ya magufuli.
Hiyo Hospitali ingekuwa ya Magufuli mgonjwa huyo asingepona maana madaktari wangechelewa kumtibu wakiunga mkono juhudi. Hiyo hospitali wakati wa ukoloni ilikuwa inaitwa Sewa Haji baadaye Princess Margret sasa huyu Magufuli alikuwa nani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom