No sio mtegoni bali huu ndio ukweli wenyewe wa the law of the jungle.
Jamhuri wako fit ndio maana wamesurvive, wapi MwanaHalisi?.
Survival is everything!.
P
KCMC ni ya wakatoliki!!??pumbavu weweBasi walishindwa sasa. Hata hospital yao ya KCMC ilishindwa kumtibu.Ikabidi itumike ndege ya magufuli na hospital ya magufuli.
Ngumu kumesa ulitaka waandike uaandishi kama mtanzania daima!Nimemtazama kwenye kipindi cha kipima joto cha ITV kiongozi wa gazeti la Jamhuri lililo jizolea sifa za kuibua ufisadi na mambo ya hovyo yaliyokuwa yanafanywa na viongozi mbalimbali akiingia kwenye mtumbwi wa kuhubiri siasa za kuunga mkono nimeshangaa sana.
Eti anasema kusingekuwepo na ndege za serikali yule askofu aliyekuwa amelazwa MOI asingepona!!!!
Huu ni upotoshaji wa hali ya juu maana naamini wakatoriki hawawezi kushindwa kukodi ndege ya kumuwahisha kiongozi wao ili kupatiwa matibabu ili kunusuru uhai wake.
Hujamuelewa bado tulia dawa ikuingie ndio utamuelewa zaidi!Pascally nimeanza kukuelewa sasa
Kwani ni lini alijipambanu kama yupo chama cha upinzani!Tangu aitwe Dodoma amekuja na semi za kuzunguka mbuyu
Hicho kigazeti ni takataka nowadays! Mhaya nshomile, kaona yule wa UDSM kaukwaa ubalozi akaona ajitokeze kwenye media sifie. anataka kupewa U DC, rubbish!Nimemtazama kwenye kipindi cha kipima joto cha ITV kiongozi wa gazeti la Jamhuri lililo jizolea sifa za kuibua ufisadi na mambo ya hovyo yaliyokuwa yanafanywa na viongozi mbalimbali akiingia kwenye mtumbwi wa kuhubiri siasa za kuunga mkono nimeshangaa sana.
Eti anasema kusingekuwepo na ndege za serikali yule askofu aliyekuwa amelazwa MOI asingepona!!!!
Huu ni upotoshaji wa hali ya juu maana naamini wakatoriki hawawezi kushindwa kukodi ndege ya kumuwahisha kiongozi wao ili kupatiwa matibabu ili kunusuru uhai wake.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Kazi ipo kipindi hikiBasi walishindwa sasa. Hata hospital yao ya KCMC ilishindwa kumtibu.Ikabidi itumike ndege ya magufuli na hospital ya magufuli.
Siasa za kupongeza zimeingia kila pahala, wanapongeza tu, yaani hata mtu akijamba wanakwambia awamu ya 5 hiyoNimemtazama kwenye kipindi cha kipima joto cha ITV kiongozi wa gazeti la Jamhuri lililo jizolea sifa za kuibua ufisadi na mambo ya hovyo yaliyokuwa yanafanywa na viongozi mbalimbali akiingia kwenye mtumbwi wa kuhubiri siasa za kuunga mkono nimeshangaa sana.
Eti anasema kusingekuwepo na ndege za serikali yule askofu aliyekuwa amelazwa MOI asingepona!!!!
Huu ni upotoshaji wa hali ya juu maana naamini wakatoriki hawawezi kushindwa kukodi ndege ya kumuwahisha kiongozi wao ili kupatiwa matibabu ili kunusuru uhai wake.
Elimu yako ni level ganiBasi walishindwa sasa. Hata hospital yao ya KCMC ilishindwa kumtibu.Ikabidi itumike ndege ya magufuli na hospital ya magufuli.
umemaliza kazi !Tatizo lako umekuja mjini na gari la mbio za mwenge ndio maana hujui mambo yanayo fanyika mjini
Mwanahalis wamepotea baada yakuanza kuandika habari za udaku badala ya habari za uchunguzi!No sio mtegoni bali huu ndio ukweli wenyewe wa the law of the jungle.
Jamhuri wako fit ndio maana wamesurvive, wapi MwanaHalisi?.
Survival is everything!.
P
Wazazi tuna hasara, nao wako huko kijijini eti walizaa mtoto anaitwa sheiza! Mungu ni mwema kumshukuru kwa kila akupacho, lakini kwa hali hii afadhali kukaa bila mtoto ikajulikana kuwa sina mtoto kama mtoto ni wewe!Basi walishindwa sasa. Hata hospital yao ya KCMC ilishindwa kumtibu.Ikabidi itumike ndege ya magufuli na hospital ya magufuli.