The Velocity
Member
- Feb 18, 2015
- 39
- 8
Credible Viewer
Wewe ndio mchochez,kwani ulijuaje kama Msigwa hakukusudia unacho kikataa wewe? Al huda "wame quote" direct kutoka kwa source,je wewe hio hoja yko kuwa Msigwa hajakusudia "uchochez" ume qoute kwa nani?
Msigwa amekanusha kauli yake au wewe ndo msemaji wake? Hio falsafa kwanini aitumie ya "symbol" ya kanisa?wakat tayar kuna vugu vugu la udini na mivutano ya kidin isio kwisha?
Tena tuhuma nyengine zinaelekezwa hko hko chadema?Kwani Msigwa hakuona falsafa nyengine ya kusema?
Mfano,kwanini msigwa asiseme "Chadema ni kama maji ya kunywa,kila mtu atayahitaji" n.k,Falsafa ya udini haikubaliki hata kama yeye ni mchungaji?
Msigwa ndio mchochozi pamoja na wewe.Al huda ni wasafi,wao wamefanya direct quote from the source.
Njia ni moja,mafikio tofauti.
mkuu ku-quote ni sawa ila ile kusema wanachama waislamu matatani ndo inaonekana kama uchochezi coz msigwa hakuzungumzia udini hapo
Last edited by a moderator: