Dr Matola PhD
Platinum Member
- Oct 18, 2010
- 61,430
- 108,591
Uelewa mdogo wa mwandishi juu ya matumizi ya 'analogy', 'metaphor', na 'simile' AKA figurative speech; na si ajabu hili kutokea kwenye gazeti hilo.
Wewe ndio uelewewa wako ni mdogo, mwandishi anajuwa anachokifanya na ana uelewa mkubwa tu.
Hizi dini mbili zilipaswa kupigwa marufuku miaka mingi huko nyuma, maana kuna taasisi ndani ya dini hizi kama dunia ikiwa na amani na wao watakufa njaa.
Inahitaji akili nyingi kunielewa hapa, kuna vigroup vya wakristo na waislamu vinaendesha maisha yao kwa kutumiwa pesa na wazungu na waarabu, hivi vigroup vinaishi kwa kutengeneza taarifa kwamba kila upande unaonewa na ndio maaana kuna wakati nawadharau sana wazungu huwa hata sijui malengo yao ni nini maana kama ni huruma waje watembee mikoani huko wakauone umaskini wapeleke pesa huko direct.