Hata katika enzi hizo za kula lazima kuoga hiari, Gazeti langu lilikuwa ni Mfanyakazi hadi walipomuua Stan Katabalo baada ya kuibua kashfa ya Loliondo gate.Zamani enzi za mwalimu magazeti ya kiswahili yalikuwa matatu tu.1.UHURU 2.MZALENDO la siku ya jumapili 3.MFANYA KAZI ya kiingereza yalikuwa 1.DAILY NEWS na 2.SUNDAY NEWS la siku ya jumapili.Kwa siasa za wakati ule hakuna gazeti au mtu alikuwa anamiliki gazeti binafsi.Tulikuwa tumeaminishwa kuwa mtu hawezi miliki chombo chochote cha habari ni serikali na chama tu kwa hivyo tulikuwa tunalishwa kile kilichoandikwa hata kama hupendi maana habari kabla haijaandikwa lazima iwe censored na vyombo husika siku hizi kuna magazeti lukuki mpaka ya udaku na unaandika unavyotaka ili mradi usivunje sheria.Kuliibukaga gazeti linaitwa FAHARI hili angalau lilikuwa na mrengo tofauti ila liliuwa linaangaliwa kwa macho matatu
silipendi kuanzia gazeti hadi redio yao....Uhuru
Nahisi unavipenda aiseesilipendi kuanzia gazeti hadi redio yao....
Magazeti yapo mengi lkn kila gazeti lina heshima yake kutoka na habari zinazochapishwa.
Hata ukienda kwa mawakala wa magezeti watakwambia kuna gazeti wanauza idadi kubwa lkn kuna mengine wanazalisha kopi chache na bado haziishi yaani hayana wateja kabsa.
Mm binafsi nalichukia sana gazeti la Uhuru, hili gazeti usitegemee kupata habari ya kweli, ni gazeti linaloandika lisiyo yataka maana Wahariri hawana Uhuru ...
Je wewe gazeti gani hulipendi toa na sababu.
Ingekuwa ndio kipindi hiki, nisingeimba wimbo huu kwenye mchakamchakaAlikaa nyerere na kaunda wakisoma gazeti la UHURU lililoshapishwa nchini Tanzania uliyanga na kuzimbabwe.