Gazeti gani hulipendi?

Gazeti gani hulipendi?

Gazeti hili sijawahi kuwa na ukaribu nao
1886d476ef53d7fb91e9062a8acb75d0.jpg
daaaah
 
Hapa najua umeongea kinafki lkn moyoni unajua hilo ni gazeti pendwa maana halipindishi mambo
sasa mkuu hapa tukuelewe vipi maada yako inasema gazeti gani usilolipenda, mwenzako ametaja/kuandika kinyume na mawazo yako unampinga!!!!!

kwa maana hiyo maada yako imeegemea upande fulani na unataka wengine waamini unachoamini wewe!!!!!
 
sasa mkuu hapa tukuelewe vipi maada yako inasema gazeti gani usilolipenda, mwenzako ametaja/kuandika kinyume na mawazo yako unampinga!!!!!

kwa maana hiyo maada yako imeegemea upande fulani na unataka wengine waamini unachoamini wewe!!!!!
Hapa umeuliza au umejieleza?
 
Yale yote yenye mwenendo wa chama na mengine hutumika kuchafua watu wakiwa upande mwingine na wakija kwao huacha kuandika ubaya wao. Mfano wezi wa kura mafisadi Mr Zero na kusifia eti tingatinga
 
Kuna uchafu unaiywa Habari Leo. Hilo utadhani linaandikwa na vijana wa Lumumba ni pumba mwanzo hadi mwisho
 
Tazama Tanzania sijui la nani . Sijawahi kuona mtu analinunua wala kulisoma lenyewe kila siku ni chadema, chadema. Nashangaa halijawahi hata kulewa onyo kwa uchochezi?
 
Uhuru ; mzalendo; Tazama, na kwa mbali naanza kulichukia Nipashe.
 
Kiu, Ijumaa, San, Uhuru, M/tz, Mzalendo ,mwanahalisi, Dimba, Bingwa, Haya Labda Uninunulie Bule
 
tanzania daima.mwananchi na yale yote ya lowassa aliyonunua toka rostam aziz na yale yote ya kubenea
 
Back
Top Bottom