Ultimate
JF-Expert Member
- Nov 29, 2016
- 713
- 1,738
Aise hali sio poa kabisa.
Sijui sasa hivi huko vyuoni wanawafundisha nini hawa watoto.
Ipo hivi juzi juzi hapo kulikua kunaitajika new staff. Pendekezo lilikuza hawa staff wapya wawe graduate wapya (Walio maliza mwaka huu) au mwaka jana lengo lilikua kuwapata fresh from school ile wawe trained hapa hapa wasije kuharibu kazi.
Tukapeleka pendekezo chuo kimoja kikubwa tu hapa mjini. Tunaomba Top Performer kenye course moja inayohusiana na Mambo ya Economics, Econometrics na Actuary Analysis.
Tukapewa list na namba zao za simu. Baada ya Hapo Vijana wakatafutwa wakapewa maelezo, Ofisi zilipo na siku yakuja kwa maelezo zaidi. moja ya japo waliopewa ni kwamba saa nne kamili wawe tayari wameshafika tayari.
Siku ya tukio sasa (Tulipata vijana sita). Hapa ndio vituko vilianza (Sijui walijua wanakuja kufanya interview) tukawachukua wakapelekwa meeting room, tukawapa magazeti haya haya ya Kiswahili sijui Nipashe, Uhuru Mwananchi, Raia Mwena, MwanaSpoti etc. wakaambiwa kwenye hayo magazeti wachambue habari zinazohusu economy (Mfano labda kwenye gazeti wameandika Serikali imezindua daraja la Wami. Watuambie hii kiuchumi ni nini na ina implication gani kwenye Macreconomic).
Pia condition ilikua moja wapo ikiwa habari au concept itajirudia kwa watu watatu hiyo concept au habari inakua deducted kwa watu wote (Haihesabiki). Tukawapa na mtu wa kuwasimamia pia na wifi (Free wifi speed ilipunguzwa, network iwe nzito <ili tuangalie watapoteza muda kwenye network au wata concentrate kwenye task)
Muda Ukaenda ukaisha. Kila mtu aka submit copy ya alichopata. Wakaja kwenye panel ku-present findings zao. Aise Hali ni mbaya mtu masaa karibia 6 magezeti karibu 8 amepata habari 2 za kiuchumi, mwingine 4, mmoja alijitutumia akapata 7.
Mtu unamuuliza sasa wewe imekuje umepata habari mbili tu anaanza mara hoo, mageti langu lilikua na habari za siasa nyingi yaani bla bla tu hamna kitu. Mtu unamuuliza hii habari yaserikali imetoa fedha za kujanga madarasa kwa kutumia force account hii si monetary policy hihii? au sio habari za ki uchumi anaanza kumumunya maneno.
Kitu kilicho nishagaza ni mtu unamwambia tupe twakimu za watoto chini ya miaka 5 kwa sasa hapa nchi. Mtua anaingia google jibu la kwanza au lapili litakalo tokea ndio analitaja.
Nikawa nawaza sasa kama hawa ndio top performer sijui best students hao wengine itakuaje. Imebidi tuchukue tu baadhi sasa tutafanyaje.
Lkn kiujumla baadhi ya wasomi wengi hama kitu.
Kuna kijana alikuja saa nne Karibia na robo nikesema hapa kazi ipo.
Sijui sasa hivi huko vyuoni wanawafundisha nini hawa watoto.
Ipo hivi juzi juzi hapo kulikua kunaitajika new staff. Pendekezo lilikuza hawa staff wapya wawe graduate wapya (Walio maliza mwaka huu) au mwaka jana lengo lilikua kuwapata fresh from school ile wawe trained hapa hapa wasije kuharibu kazi.
Tukapeleka pendekezo chuo kimoja kikubwa tu hapa mjini. Tunaomba Top Performer kenye course moja inayohusiana na Mambo ya Economics, Econometrics na Actuary Analysis.
Tukapewa list na namba zao za simu. Baada ya Hapo Vijana wakatafutwa wakapewa maelezo, Ofisi zilipo na siku yakuja kwa maelezo zaidi. moja ya japo waliopewa ni kwamba saa nne kamili wawe tayari wameshafika tayari.
Siku ya tukio sasa (Tulipata vijana sita). Hapa ndio vituko vilianza (Sijui walijua wanakuja kufanya interview) tukawachukua wakapelekwa meeting room, tukawapa magazeti haya haya ya Kiswahili sijui Nipashe, Uhuru Mwananchi, Raia Mwena, MwanaSpoti etc. wakaambiwa kwenye hayo magazeti wachambue habari zinazohusu economy (Mfano labda kwenye gazeti wameandika Serikali imezindua daraja la Wami. Watuambie hii kiuchumi ni nini na ina implication gani kwenye Macreconomic).
Pia condition ilikua moja wapo ikiwa habari au concept itajirudia kwa watu watatu hiyo concept au habari inakua deducted kwa watu wote (Haihesabiki). Tukawapa na mtu wa kuwasimamia pia na wifi (Free wifi speed ilipunguzwa, network iwe nzito <ili tuangalie watapoteza muda kwenye network au wata concentrate kwenye task)
Muda Ukaenda ukaisha. Kila mtu aka submit copy ya alichopata. Wakaja kwenye panel ku-present findings zao. Aise Hali ni mbaya mtu masaa karibia 6 magezeti karibu 8 amepata habari 2 za kiuchumi, mwingine 4, mmoja alijitutumia akapata 7.
Mtu unamuuliza sasa wewe imekuje umepata habari mbili tu anaanza mara hoo, mageti langu lilikua na habari za siasa nyingi yaani bla bla tu hamna kitu. Mtu unamuuliza hii habari yaserikali imetoa fedha za kujanga madarasa kwa kutumia force account hii si monetary policy hihii? au sio habari za ki uchumi anaanza kumumunya maneno.
Kitu kilicho nishagaza ni mtu unamwambia tupe twakimu za watoto chini ya miaka 5 kwa sasa hapa nchi. Mtua anaingia google jibu la kwanza au lapili litakalo tokea ndio analitaja.
Nikawa nawaza sasa kama hawa ndio top performer sijui best students hao wengine itakuaje. Imebidi tuchukue tu baadhi sasa tutafanyaje.
Lkn kiujumla baadhi ya wasomi wengi hama kitu.
Kuna kijana alikuja saa nne Karibia na robo nikesema hapa kazi ipo.