Gazeti gani lenye habari huru Tanzania?

inchaji

JF-Expert Member
Jul 5, 2019
2,420
4,922
Wakuu.

Sijasoma magazeti ya nchini mwetu siku nyingi. sababu kuu ni mbili.

Kwanza utandawazi. taarifa zimekuwa nyingi mno kwenye mtandao wa internet. zinawahi kabla ya magazeti yenyewe.

Pili hisia kuwa hakuna uhuru wa habari. hisia hizi zimenifanya nihisi magazeti yetu hayana tena uwezo wa kuandika habari huru kwa uhuru.

Zamani nilikuwa nikisoma sana mwananchi, lakini kadiri siku zilivyokuwa zinaenda nikawa nahisi nao wamekuwa compromised. uandishi wao na namna wanavyo deal na waandishi wao katika kutatua migogoro yao ya ndani.

Je kwa sasa ni gazeti gani huru? nataka nianze tena kusoma magazeti.
 
Citizen na The East African ndiyo yanaongoza kutokana na Western media view. Wazungu watatumia kila mbinu kuigawa Africa ili wale rasilimali zao kiulaini.
 
wakuu.

sijasoma magazeti ya nchini mwetu siku nyingi. sababu kuu ni mbili.

kwanza utandawazi. taarifa zimekuwa nyingi mno kwenye mtandao wa internet. zinawahi kabla ya magazeti yenyewe.

pili hisia kuwa hakuna uhuru wa habari. hisia hizi zimenifanya nihisi magazeti yetu hayana tena uwezo wa kuandika habari huru kwa uhuru.

zamani nilikuwa nikisoma sana mwananchi, lakini kadiri siku zilivyokuwa zinaenda nikawa nahisi nao wamekuwa compromised. uandishi wao na namna wanavyo deal na waandishi wao katika kutatua migogoro yao ya ndani.

je kwa sasa ni gazeti gani huru? nataka nianze tena kusoma magazeti.
Tanzania Daima!
 
wakuu.

sijasoma magazeti ya nchini mwetu siku nyingi. sababu kuu ni mbili.

kwanza utandawazi. taarifa zimekuwa nyingi mno kwenye mtandao wa internet. zinawahi kabla ya magazeti yenyewe.

pili hisia kuwa hakuna uhuru wa habari. hisia hizi zimenifanya nihisi magazeti yetu hayana tena uwezo wa kuandika habari huru kwa uhuru!

zamani nilikuwa nikisoma sana mwananchi, lakini kadiri siku zilivyokuwa zinaenda nikawa nahisi nao wamekuwa compromised. uandishi wao na namna wanavyo deal na waandishi wao katika kutatua migogoro yao ya ndani.

je kwa sasa ni gazeti gani huru? nataka nianze tena kusoma magazeti.
Uhuru

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wakuu.

sijasoma magazeti ya nchini mwetu siku nyingi. sababu kuu ni mbili.

kwanza utandawazi. taarifa zimekuwa nyingi mno kwenye mtandao wa internet. zinawahi kabla ya magazeti yenyewe.

pili hisia kuwa hakuna uhuru wa habari. hisia hizi zimenifanya nihisi magazeti yetu hayana tena uwezo wa kuandika habari huru kwa uhuru.

zamani nilikuwa nikisoma sana mwananchi, lakini kadiri siku zilivyokuwa zinaenda nikawa nahisi nao wamekuwa compromised. uandishi wao na namna wanavyo deal na waandishi wao katika kutatua migogoro yao ya ndani.

je kwa sasa ni gazeti gani huru? nataka nianze tena kusoma magazeti.
Mzalendo
 
Soma Mwananchi, The Citizen, Nipashe, The Guardian, Mwanaspoti & JF.

Ila hakikisha unasoma ukiwa na AKILI zako timamu.
 
Soma Mwananchi, The Citizen, Nipashe, The Guardian na Mwanaspoti & JF.

Ila hakikisha unasoma ukiwa na AKILI zako timamu.
Ondoa hayo makaratasi ya kampuni ya MCL,yamekuwa ya hovyo hata kufungia vitumbua hayafai.
 
Wakuu.

Sijasoma magazeti ya nchini mwetu siku nyingi. sababu kuu ni mbili.

Kwanza utandawazi. taarifa zimekuwa nyingi mno kwenye mtandao wa internet. zinawahi kabla ya magazeti yenyewe.

Pili hisia kuwa hakuna uhuru wa habari. hisia hizi zimenifanya nihisi magazeti yetu hayana tena uwezo wa kuandika habari huru kwa uhuru.

Zamani nilikuwa nikisoma sana mwananchi, lakini kadiri siku zilivyokuwa zinaenda nikawa nahisi nao wamekuwa compromised. uandishi wao na namna wanavyo deal na waandishi wao katika kutatua migogoro yao ya ndani.

Je kwa sasa ni gazeti gani huru? nataka nianze tena kusoma magazeti.
Hakuna labda uingie social media uchambue mwenyewe.
 
Citizen na The East African ndiyo yanaongoza kutokana na Western media view. Wazungu watatumia kila mbinu kuigawa Africa ili wale rasilimali zao kiulaini.
Story hizo za wanazuoni wa kijamaa.Raslimali zipi wamezikosa hadi Hadi watugawe.Wanatugawa au tunajigawa
 
Back
Top Bottom