S Sekenyula Member Mar 12, 2024 40 38 Mar 16, 2024 #1 Wakuu ni mara ya nne leo ninakutana na gazeti hili mezani. Nimejaribu kulifuatilia stori na makala zake nimebaki kujiuliza swali kuwa hili ni gazeti makini au la kimkakati? Nimekutana na makala za wachambuzi makini kama vile Absolom Kibanda, Victor Makinda Dismas Lyassa na wengine wengi. Mathalani leo wamekuja na stori ya uchunguzi kuhusu maandamano ya Chadema na siri iliyojificha. Mwenye kujua zaidi atujuze
Wakuu ni mara ya nne leo ninakutana na gazeti hili mezani. Nimejaribu kulifuatilia stori na makala zake nimebaki kujiuliza swali kuwa hili ni gazeti makini au la kimkakati? Nimekutana na makala za wachambuzi makini kama vile Absolom Kibanda, Victor Makinda Dismas Lyassa na wengine wengi. Mathalani leo wamekuja na stori ya uchunguzi kuhusu maandamano ya Chadema na siri iliyojificha. Mwenye kujua zaidi atujuze
U Unitman JF-Expert Member Jul 14, 2021 256 354 Mar 16, 2024 #5 Mafisadi hao wahujumu uchumi hakuna kitu hapo.