gawio

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Mbona siku hizi serikali haipewi gawio kama kipindi cha JPM

    Crdb yapata faida ya bilion 206 robo ya mwaka huu. Nategemea serikali itakapo kuja na mambo ya kusema kwenye mei mosi waje na hili . Sio mnapokelea vichakani hizo gawio then mnagawana watu wachache....
  2. RMK Freelancers Agency

    JamiiForums Tanzania TCC Plc Yapendekeza Gawio Kubwa Zaidi – TZS 650 kwa Wanahisa (2026)

    TCC Plc Yapendekeza Gawio Kubwa Zaidi – TZS 650 kwa Hisa Tanzania Cigarette Company Plc (TCC) imependekeza gawio la juu zaidi kwa mwaka wa fedha 2025, ikiendelea kujiimarisha kama moja ya dividend stocks imara ndani ya Dar es Salaam Stock Exchange. DIVIDEND DETAILS (TAARIFA ZA GAWIO) Final...
  3. RMK Freelancers Agency

    JamiiForums Tanzania CRDB Plc imetangaza gawio 2026 kwa wanahisa

    CRDB Bank Plc imetangaza rasmi gawio (dividend) kwa mwaka wa fedha ulioisha 31 Desemba 2025, na hii ni taarifa muhimu kwa wawekezaji wote wa Dar es Salaam Stock Exchange (DSE). DIVIDEND DETAILS(TAARIFA ZA GAWIO) Dividend per share (Gawio kwa kila hisa): TZS 90 Declaration date (Tarehe ya...
  4. Arsenal Gunner

    JamiiForums Tanzania Hivi mbona M-Wekeza gawio ninalopata haliendeni na kiwango changu, mwezi uliopita Nina 19 M wakaniwekea gawio la 158000

    Hawa jamaa mbona kama wanawizi Fulani mwanzoni walikua wanatoa gawio la kueleweka Sasa hivi kama Kuna utapeli Fulani hivi yaani million 19 gawio liwe 158000 pumbavu sana Hawa jamaa niliweka mwaka Jana mwezi wa tatu mwanzo walikua wanatoa vizuri hii miezi ya mwisho wameshusha gawio
  5. F

    JamiiForums Tanzania Mara ya pili sijapata gawio langu la Vodacom kupitia DSE – msaada tafadhali

    Wakuu, naomba msaada wenu wa uzoefu na ushauri. Mimi ni mwekezaji wa hisa za Vodacom Tanzania (VODA) kupitia DSE/CDS account. Tatizo nililonalo ni kwamba hii ni mara ya pili sasa sijapatiwa gawio langu. Nimejaribu kufuatilia kwa pande husika lakini majibu yamekuwa yanapingana: Nikipiga...
  6. Godfrey- denis

    JamiiForums Tanzania Je, unalenga nini katika uwekezaji wako kwenye soko la hisa: Ongezeko la mtaji (Capital Gain) au Gawio (Dividends)?

    Je, unalenga nini katika uwekezaji wako: Ongezeko la mtaji (Capital Gain) au Gawio (Dividends)? Watu wengi huingia kwenye soko la hisa bila kuwa na malengo ya wazi. Lakini ukweli ni kwamba malengo yako ndiyo dira ya uwekezaji wako. Kabla hujaweka hela yako, jiulize: Nataka kupata faida kwa njia...
  7. K

    JamiiForums Tanzania Ninaomba mnilipe gawio langu la Samia Infrastructure Bond vinginevyo nitaenda Mahakamani

    Ninaomba mnilipe gawio langu la Samia Infrastructure Bond vinginevyo nitaenda Mahakamani mnirudishie fedha zangu. Tuliaminishwa kuwa kila baada ya miezi mitatu tunapata gawio lakini siyo kama walivyoahidi.
  8. K

    JamiiForums Tanzania NAOMBA MNIWEKEE GAWIO LANGU LA SAMIA INFRASTRUCTURE BOND

    Naomba mniwekee gawio langu. Mimi niliwekeza nikiwa na malengo yangu. Kunicheleweshea gawio langu linakwamiswha mambo yangu ya msingi. Utaratibu ulikuwa ni kuwa gawio lainawekwa kila baada ya miezi mitatu.
  9. K

    JamiiForums Tanzania Ninakumbushia Gawio langu la Samia Bond

    Niliwekeza kwenye Samia Insfrastructure Bond na maelekezo ya uwekezaji ni kuwa kila mwekezaji atawekewa gawio lake kila baada ya miezi mitatu. Miezi mitatu tayari imefika na hata kupita. Ninaomba niwekewe gawio langu kama uwekezaji ulivyoelekeza. Nawasilisha.
  10. S

    JamiiForums Tanzania Tofauti na Tanzania, nchi zinazowafikiria wananchi wake hazikati kodi kamili kwenye gawio (dividends) na marupurupu ya mshahara (benefits)

    Tanzania sio rahisi kutoboa kama mfanyakazi tofauti na nchi nyingine. Ukienda Ulaya au USA, hata ukiwa mbeba maboksi utatoboa kama mfanyakazi. Zipo sababu. Huko nyuma, nadhani enzi za Nyerere na Mwinyi sijui na nani, ili mwajiri akupe motisha, mfanyakazi ulikuwa unapewa marupurupu kama ada ya...
  11. Godfrey- denis

    JamiiForums Tanzania Somo la 6: tarehe muhimu unazopaswa kuzielewa wakati wa gawio

    🔁 Katika somo letu lililopita, tulijifunza kuhusu faida ya gawio — sehemu ya faida ya kampuni inayogawiwa kwa wanahisa. 📍 Leo, tunachambua tarehe muhimu zinazotajwa kampuni inapokuwa imetangaza gawio, ambazo mara nyingi huwachanganya wawekezaji wapya. 1️⃣ Dividend Declaration Date – Tarehe ya...
  12. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Rais Samia apokea gawio nono la TSh. Tril 1.28, ongezeko la 68% kutoka Taasisi na Mashirika ya Umma

    Leo, Juni 10, 2025, Rais Samia amepokea gawio nono la Shilingi Trilioni 1.28, michango kutoka kwa taasisi na mashirika ya umma, ikiwa ni ongezeko la asilimia 68. Hafla hiyo imefanyika Ikulu, Dar es Salaam. "Mbele yako leo hii Mhe. Rais ninayofuraha ya kukukabidhi Gawio ambalo ni nono kuliko la...
  13. Godfrey- denis

    JamiiForums Tanzania Somo la 5: Faida ya pili ya uwekezaji kwenye soko la hisa — gawio (dividends)

    🔁 Katika somo letu lililopita, tulielewa vizuri dhana ya ongezeko la mtaji (capital gain) — faida unayopata pale bei ya hisa inapopanda. 📍 Leo, tunazungumzia faida ya pili: Gawio. 1️⃣ Gawio ni nini? Gawio ni sehemu ya faida ya kampuni inayogawiwa kwa wanahisa wake, kawaida mara moja au mbili...
  14. V

    JamiiForums Tanzania Gawio na michango ya Mashirika: Tuwe makini tusishushe ufanisi

    Nyakati ambazo misaada kutoka nje inasua-sua na huenda ikazimika kabisa huko tuendako, kilichofanyika leo kinapaswa kupewa uzito zaidi na kutumika vizuri zaidi ili hatimaye kisaidie kama moja kati ya mbinu zitakazo tuwezesha kuondoa kabisa utegemezi wa kibajeti kwenye uchumi wa Taifa letu. Ni...
  15. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania Kwanini hatuoni Kampuni za Jeshi zikitoa Gawio kwa Serikali? Fedha zake zinaenda wapi?

    Ukienda Dodoma, miradi mingi inatekelezwa na Kampuni ya Suma JKT. Na wanafanya miradi ile kwa kulipwa mabilioni ya fedha. Wana Kampuni ya Maji ya Uhuru ambayo inatengeneza maji na kuuza kwa kiwango kikubwa sana. Kwenye shughuli karibu zote za Serikali maji yanayogawiwa ni ya Kiwanda cha Maji...
  16. Pfizer

    JamiiForums Tanzania Sababu za TPA kuongoza kutoa gawio kwa miaka mitatu mfululizo

    Kwanini TPA imeongoza kutoa gawio kwa miaka mitatu mfululizo? i. Maboresho ya miundombinu yaliyochangia ongezeko la Shehena ambapo kwa kipindi cha miezi kumi na moja kwa mwaka 204/2025 mizigo imeongezeka kwa asilimia 11, ambapo imehudumia tani mil 23.9 kulinganisha na tani mil 21.5 za miezi 11...
  17. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania Kama takwimu zinadai tunaongoza kwa kupokea Watalii inakuwaje TANAPA na NGORONGORO hawajaongoza katika kutoa Gawio kwa Serikali?

    Something is wrong somewhere! Kwa muda wa miaka miwili na zaidi sasa takwimu zinazotolewa na Serikali na vyombo mbalimbali vya habari vya ndani na nje ya nchi zinadai kuwa Tanzania tunaongoza kwa kupokea idadi kubwa ya Watalii wanaotembelea nchi yetu ikiwemo mbuga zetu za wanyama na vivutio...
  18. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Mashirika mengi ya umma watumishi wana hali mbaya, yet wanagawa gawio kwa serikali

    Hivi kila kilichofanyika wakati wa Magufuli ni lazima kidumishwe? Kipindi cha Magufuli wahuni wachache ili kulinda nafasi zao wakaona wamkoshe Rais kwa kutoa gawio kwa serikali. Mashirika mengi yanajiendesha kwa hasara, watumishi wana hali ngumu na wale wanaoonekana kuwa super basi wako mahali...
  19. Godfrey- denis

    JamiiForums Tanzania Somo la 5: Faida ya pili ya uwekezaji kwenye soko la hisa — Gawio (dividends)

    📘 🔁 Katika somo letu lililopita, tulielewa vizuri dhana ya ongezeko la mtaji (capital gain) — faida unayopata pale bei ya hisa inapopanda. 📍 Leo, tunazungumzia faida ya pili: Gawio. 1️⃣ Gawio ni nini? Gawio ni sehemu ya faida ya kampuni inayogawiwa kwa wanahisa wake, kawaida mara moja au...
  20. Godfrey- denis

    JamiiForums Tanzania 📢 Story za gawio

    | Leo Tujifunze kwa Mfano Halisi 💰📈 Juzi CRDB Bank PLC wameanza kutoa gawio (dividends) kwa wanahisa wake! 🏦💵 Gawio la mwaka huu ni Tsh 65 kwa kila hisa – na guess what? Wanafunzi wangu wa darasa la uwekezaji (kwenye group langu la WhatsApp 📲) waliowekeza kwenye hisa za CRDB wameanza kupokea...
Back
Top Bottom