Gavana Prof. Ndulu: Benki wapo sahihi

Gavana Prof. Ndulu: Benki wapo sahihi

nadhani mnachanganya mambo. lengo la serikali ni kumpunguzia mzigo mlaji yaani consumer. kwa maana nyingine tozo za huduma ile 18% zinatakiwa zipunguzwe na iwe ndio consumption tax badala yake. kama tozo ya huduma ilikuwa sh.2000. mteja sasa anatakiwa kutozwa 1640. na ile 360 iwe consumption tax. kiufupi gharama imepunguzwa kwa mlaji. mabenki income yao nayo imepungua.
Huu ndio Ukweli unaotaka kupotoshwa kwa makusudi na watashindwa tu
 
Value-Added Tax (VAT) is a tax on consumer spending. It is collected by VAT-registered traders on their supplies of goods and services effected within the State, for consideration, to their customers.kwishaaaa!!!!
Umemaliza Mkuu....Mwenye kuelewa aelewe Mwenye kubisha aendelee kubisha kwa maslahi ya chama chake
 
Labda hao TRA uchwra watueleze kuwa walipoweka neno VAT hawakujua maana yake? Pili watueleze kuwa hiyo kodi waliyoongeza kwa tafsiri yao wanamega ile income tax watakayolipwa wakati wa majumuisho mwisho wa mwaka?

Kama wanategemea mawakala wao ndiyo walipe basi labda waitoe hewani! Siasa za hovyo hovyo!
Hizi mbwe mbwe za faida za mabenki mnazitoa wapi???hivi wachangiaji wakubwa wa kodi kwenye serikali ni nani??
 
Ona sasa hapa nachanganyikiwa hadi pesa zangu niko nazo mikononi sijui lipi ni lipi kati ya la BOT au TRA yupi yuko sahihi..

Ngoja tusubiri wakuu wenyewe waelewane then nasi tutaelewa tuu
 
Unategemea nini kwa Wabunge wa CCM? Labda kuwatusi Wapinzani na kumsifia mtawala. Ni aibu kubwa kuwa Mbunge kwa ticket ya CCM
kwenye mambo ya msingi kama haya hayana itikadi inatakiwa watalaamu wenye weledi ktk kodi na mabenki wahusishwe kabla ya kupitisha sheria kama hizi ambazo zinaleta mgongano kama huu kati ya tasisi na wananchi hata wabunge ambao ni wawakilishi wetu hawajafanya vizuri kazi ni kuomba miongozo et nimevuliwa barakashia da what kind of this people ?inatakiwa wasome vile wanavyopitisha vyenye utata wavijadili kabla ya kuwa sheria.nimemkumbuka mnyika alivyokuwa akileta changamoto kwenye bajeti mpaka makinda unaona kabisa anasikia furaha anapokuwepo mnyika coz of kusoma na kushaur mambo ya msingi hivyo basi wapinzani sasa wanapata sifa eti kwa kuwa hawakuwepo ndo maana sheria tata kama hizi zimepita ili cha msingi kila mtu awajibike kwenye eneo lake
 
Wewe kweli hamnazo na ukiendelea hivi utachizika! Sasa unataka ufafanuzi gani kwa jambo ambalo liko wazi sana? Kwani wale wabunge wenu mliokuwa nao kule bungeni wakijimwaga na kujiachia hawakuwapeni ufafanuzi nyie makanjanja? Akili za hovyo kweli!
Msikilize kamishna akifafanua hapo juu msituletee porojo za waandishi wa habari....Ni ukilaza kumuuliza swala la kodi asiyehusika na kodi....
 
Kwa mtazamo wangu ni kuwa ile pesa ambayo mteja atakatwa kiasi cha 18% ya hiyo pesa ndio iwe tozo ya kodi ambayo government inaitaka na sio kutuongezea kutukata sisi wananchi
 
Hizi mbwe mbwe za faida za mabenki mnazitoa wapi???hivi wachangiaji wakubwa wa kodi kwenye serikali ni nani??
Sasa unataka benki imege faida yake ambayo kimsingi wamefanya 'forecasting' ili wewe ambaye huna mipango inayoeleweka upate? Kama unataka kodi kutoka benki subiri mwisho wa mwaka tupige hesabu upate kodi yako! Kama hutosheki na unataka zaidi nenda na wewe kafanye biashara kisha ufanye kama unavyofikiria!
 
Naona TRA wameingia chaka na sasa wameamua kuingiza siasa. Profesa Ndulu yuko very clear.
 
Ona sasa hapa nachanganyikiwa hadi pesa zangu niko nazo mikononi sijui lipi ni lipi kati ya la BOT au TRA yupi yuko sahihi..

Ngoja tusubiri wakuu wenyewe waelewane then nasi tutaelewa tuu
Nina uhakika BOT hawajatoa hiki kituko kilichoandikwa na Mwananchi na nina uhakika watafafanua tu...na wapotoshaji wataachwa uchi.
 
Hii yote ni madhara ya utumbuaji majipu!
Hatukatai mpango wa kuwajibisha watumishi ila ikitokea ifanywe kwa mujibu wa kanuni.
Leo hii kazi hazifanyiki kwa weledi na ubunifu kutokana na hofu ya kutumbuliwa.
Wafanya kazi wamo maofisini kama mashati tu. Hakuna ubunifu yakinifu na kama hakuna ubunifua basi hakuna uzalishaji wenye tija.
 
.

JPM awe makini sana na wizara ya fedha,tunaweza pata anguko LA kihistoria katika uchumi.

Umeonaee. Kwanza waziri na kamishna wake wa TRA wenyewe wanagongana kauli. Waziri anasema ni excise duty..kamishna anasema ni VAT. Yani inafika mahali mpaka naishia kucheka tu...maana ni vituko vitupu
 
Hii yote ni madhara ya utumbuaji majipu!
Hatukatai mpango wa kuwajibisha watumishi ila ikitokea ifanywe kwa mujibu wa kanuni.
Leo hii kazi hazifanyiki kwa weledi na ubunifu kutokana na hofu ya kutumbuliwa.
Wafanya kazi wamo maofisini kama mashati tu. Hakuna ubunifu yakinifu na kama hakuna ubunifua basi hakuna uzalishaji wenye tija.
Mkuu acha wajae hofu ili mali zetu zipone
 
Sasa unataka benki imege faida yake ambayo kimsingi wamefanya 'forecasting' ili wewe ambaye huna mipango inayoeleweka upate? Kama unataka kodi kutoka benki subiri mwisho wa mwaka tupige hesabu upate kodi yako! Kama hutosheki na unataka zaidi nenda na wewe kafanye biashara kisha ufanye kama unavyofikiria!
Unataka mwananchi aumizwe kwa kukatwa fedha huku serikali isipate cha kwake?
Faida inapatikana kwenye kuzungusha akiba yangu bila hata kunipa chochote
 
nadhani mnachanganya mambo. lengo la serikali ni kumpunguzia mzigo mlaji yaani consumer. kwa maana nyingine tozo za huduma ile 18% zinatakiwa zipunguzwe na iwe ndio consumption tax badala yake. kama tozo ya huduma ilikuwa sh.2000. mteja sasa anatakiwa kutozwa 1640. na ile 360 iwe consumption tax. kiufupi gharama imepunguzwa kwa mlaji. mabenki income yao nayo imepungua.nadhani Gavana ameteleza., its just a slip of the tongue.
Hujui hata VAT inavyokuwa computed ni vema kutulia na kusoma wataalam kwenye eneo hilo.
 
Unataka mwananchi aumizwe kwa kukatwa fedha huku serikali isipate cha kwake?
Faida inapatikana kwenye kuzungusha akiba yangu bila hata kunipa chochote
Maskini jingalao
Umeonaee. Kwanza waziri na kamishna wake wa TRA wenyewe wanagongana kauli. Waziri anasema ni excise duty..kamishna anasema ni VAT. Yani inafika mahali mpaka naishia kucheka tu...maana ni vituko vitupu
 
Nina uhakika BOT hawajatoa hiki kituko kilichoandikwa na Mwananchi na nina uhakika watafafanua tu...na wapotoshaji wataachwa uchi.

Hata kama wakijirudi...kwa mtu anefahamu mambo ya kodi anajua ukweli unabaki pale pale. Consumption tax inalipwa na consumer..zunguka dunia nzima utaliona hilo. Hatukatai serikali kuleta hii kodi...ila kama walitaka mabenki ndio yalipe...wangeileta kwa jina lingine lakini sio VAT.
 
Back
Top Bottom