Gari za Toyota na kuishiwa mafuta barabarani

KndNo1

JF-Expert Member
Oct 26, 2021
627
2,025
Kwa miaka yangu mingi barabarani.. Gari zinazoongoza kuishiwa na mafuta njiani ni Toyota hasa hasa hizi wanasema zinanusa tuu mafuta.. Yaani mafuta yanaisha yote mpaka tank inanukia kutu.. Pump inashindwa kunusa inakata.. Gari inanusa tuu mafuta ila bado dereva anatembea na kidumu..taa ya low fuel inawaka badala ya kuongeza dereva anasema nalijua gari langu..!

Tofauti kabisa na gari za Kijerumani kuzikuta njiani zimeishiwa mafuta.. Ukiikuta imewasha hazard changamoto ni sensor ila sio mafuta.. Ukikuta kidumu kwenye gari ya Kijerumani ni cha kubebea wine na sio mafuta..!

Changamoto ni dashboards za Toyota kutoonyesha gauge ya mafuta au shallow pockets za Madereva wa Toyota wanaoziponda Germany cars...!!?
 
Shallow pockets, hakuna zaidi. Hakuna raha kama kuendesha gari likiwa na mafuta ya kutosha. Ukiona mtu anaendesha gari taa ya mafuta ina blink wala usijiulize, bahili wa kununua mafuta wakati anajua gari halitembelei maji, lakini pia mifuko imeakauka...japo kuna exceptions...sisi wa kuazima huwa tunaweka buku teni ya kwenda na kurudi tukabidhi kwa wenyewe
 
Hayo yote ni kodi lukuki zilizopo kwenye mafuta.kama kodi zikiondolewa kwenye mafuta magari ya kijerumani yangekuwa kibao sababu cc zake ni kubwa
 
hayo yote ni kodi lukuki zilizopo kwenye mafuta.kama kodi zikiondolewa kwenye mafuta magari ya kijerumani yangekuwa kibao sababu cc zake ni kubwa
Sio Wajerumani tuu.. Hata Toyota zingejaa zenye injini kubwa na uwezo mkubwa..!
 
Kwa miaka yangu mingi barabarani.. Gari zinazoongoza kuishiwa na mafuta njiani ni Toyota hasa hasa hizi wanasema zinanusa tuu mafuta.. Yaani mafuta yanaisha yote mpaka tank inanukia kutu.. Pump inashindwa kunusa inakata.. Gari inanusa tuu mafuta ila bado dereva anatembea na kidumu..taa ya low fuel inawaka badala ya kuongeza dereva anasema nalijua gari langu..!

Tofauti kabisa na gari za Kijerumani kuzikuta njiani zimeishiwa mafuta.. Ukiikuta imewasha hazard changamoto ni sensor ila sio mafuta.. Ukikuta kidumu kwenye gari ya Kijerumani ni cha kubebea wine na sio mafuta..!

Changamoto ni dashboards za Toyota kutoonyesha gauge ya mafuta au shallow pockets za Madereva wa Toyota wanaoziponda Germany cars...!!?
Wanunuzi wa Toyota ndio waulizaji wakuu wa swali, inatumia mafuta kidogo, halafu hao hao ndio wanaishiwa mafuta barabarani
 
Hayo magari ya kijerumani yako mangapi barabarani, mpaka ushindanishe tatizo na gari ambazo ni nembo ya Tanzania, upande wa magari.
Kweli ukusanyaji wa data haukuzingatia hili. Kama katika kila gari kumi, toyota nane basi pia uwezekano wa kuziona kwenye matatizo ni mkubwa.

Though pia ni ukweli wengi wanaonunua budget cars mifuko yao haiko imara.
 
Kweli ukusanyaji wa data haukuzingatia hili. Kama katika kila gari kumi, toyota nane basi pia uwezekano wa kuziona kwenye matatizo ni mkubwa.

Though pia ni ukweli wengi wanaonunua budget cars mifuko yao haiko imara.
Kuishiwa mafuta ni tatizo la gari au dereva..!!!?
Kuna garage wanarekebisha hili tatizo!!?
 
hayo yote ni kodi lukuki zilizopo kwenye mafuta.kama kodi zikiondolewa kwenye mafuta magari ya kijerumani yangekuwa kibao sababu cc zake ni kubwa
Gari za kijerumani za kisasa zina fuel consumption nzuri sana.

Usishangae kuona 3000 CC inakula 1l kwa 8km.
 
Back
Top Bottom