jaxonwaziri
JF-Expert Member
- Feb 17, 2010
- 375
- 195
Sheria itungwe ya dharura atakaye ingia na gari kwenye barabara za mwendo kasi apigwe faini hapo hapo ya Milion 60 pamoja na kifungo cha maisha + jela miaka 30 akitoka apigwe viboko 75 na adhabu ya kufanya usafi kutoka posta mpya mpaka kimara mwisho! Kuna watu wanaleta upuuzi mbele ya mambo muhimu
Aisee mkuu una gadhabu! Ungekuwa wewe ndie Polisi ukimkamata atakutambua!