Pdidy
Platinum Member
- Nov 22, 2007
- 61,674
- 37,852
Ukifuatilia sana haya mabasi unaweza kuhisi kuna operesheni ondoa mwendokasi. Kuna lori limesimama katikati ya barabara inajaribu kukata toka sheli shekilango kwenda Ubungo.
Bahati mbaya kontena ni refu hivyo aliporudi nyuma hakuwa na MTU anamwelekeza. Tukaonaa tu anatuletea kontena. Mara dereva wa mwendokasi akajitahidi kukwepa ila akaishia kutugonga. Loh
Bahati mbaya kontena ni refu hivyo aliporudi nyuma hakuwa na MTU anamwelekeza. Tukaonaa tu anatuletea kontena. Mara dereva wa mwendokasi akajitahidi kukwepa ila akaishia kutugonga. Loh