Gari ya mwendokasi yapata ajali Shekilango

Gari ya mwendokasi yapata ajali Shekilango

Hii shida ipo na kirahisi naiita ni poor design, barabara zimetengenezwa na kukosa turning radius kwa mabasi makubwa na malori!! Mifano midogo ni njia ya kwenda mabibo kutokea morogoro road, hapa lorry kuingia mabibo haliwezi kupishana na gari linalotokea mabibo kuingia morogoro road, Hapa shekilango kama unatokea sinza huwezi kukata kwenye mzunguko na lorry au basi! Na kwingine kwingi tu!! Poor design
Nchi nyinginne malori hayaingii mjini mchana, labda hilo linaweza saidia kama utawekwa utaratibu wa malori kuingia mjini usiku.
 
pdidi anafurahisha, hapo katulia saana sijui j3 hii hajapata mwelekeo
 
Ukifuatilia sana haya mabasi unaweza kuhisi kuna opereshen ondoa mwendokasi kunalori limesimama katikati ya barabara inajaribu kukata toka shell shekilango kwendaa ubungo bahati mbaya kontena ni refu

Aliporudi nyuma akuwana MTU anamwelekeza tukaonaa tu anatuletea kontena kama ilivyo Dreva wa mwendokasi anajitahidi kukwepa akaishia kutugongaa loh
Pdidy umejifunza lini kuandika mkuu ,hongera sana kwa kupiga hatua
 
Sheria itungwe ya dharura atakaye ingia na gari kwenye barabara za mwendo kasi apigwe faini hapo hapo ya Milion 60 pamoja na kifungo cha maisha + jela miaka 30 akitoka apigwe viboko 75 na adhabu ya kufanya usafi kutoka posta mpya mpaka kimara mwisho! Kuna watu wanaleta upuuzi mbele ya mambo muhimu
 
Nchi nyinginne malori hayaingii mjini mchana, labda hilo linaweza saidia kama utawekwa utaratibu wa malori kuingia mjini usiku.
Sasa yakiingia huo usiku yatapita barabara zipi? Maana hapa inasemekana radius ya kukata kona ni ndogo.
 
Sheria itungwe ya dharura atakaye ingia na gari kwenye barabara za mwendo kasi apigwe faini hapo hapo ya Milion 60 pamoja na kifungo cha maisha + jela miaka 30 akitoka apigwe viboko 75 na adhabu ya kufanya usafi kutoka posta mpya mpaka kimara mwisho! Kuna watu wanaleta upuuzi mbele ya mambo muhimu
Duh ..mkuu hata nikimfumania mgoni wangu, bado siwez waza MPA adhabu Kali namna hii....
Huku ni kukomoa saaasa Itakuwa.

Nadhan elimu ya munganiko wa na matumizi ya hizi barabara zitolewe sana, katika vipind maamulu vya Luninga na radio, hata WhatsApp siku izi ujumbe unafikia watu wengi sana.

Sio kila MTU unayemuona barabaran ukadhan ni mwenyej wa Dar.Mwengine wagen Dar, wagen wa matumiz ya barabara zetu mpya pia
 
Sheria itungwe ya dharura atakaye ingia na gari kwenye barabara za mwendo kasi apigwe faini hapo hapo ya Milion 60 pamoja na kifungo cha maisha + jela miaka 30 akitoka apigwe viboko 75 na adhabu ya kufanya usafi kutoka posta mpya mpaka kimara mwisho! Kuna watu wanaleta upuuzi mbele ya mambo muhimu
Wazo zuri ila hii adhabu haitekelezeki mkuu!!
 
Mtu akiingia kwenye barabara hizo faini iwe ndani masaa 48 na faini Lakini la kuwekwa ndani iwe lazima, utaona kama wataingia hovyo
 
Miàka mitatu ni mingi, haya magari yatakuwa yamechanika chanika na kuwa skrepa yote! Na hizo njia za hayo magari tutaona zikitumiwa na magar mengine!!
 
mimi hata sijaelewa naomba nikuite wewe ni kilaza wa uandishi kama sio uandishi wa mwendokasi,weka hata picha basi daaah ajali inatokea hata picha hamna.............??????????/
 
Mkuu kwanza poleni,

Lakinu kuwa na Contena refu si bahati mbaya, wala kutokuwa na mtu wa kumuelekeza dereva pia siyo bahati mbaya. Hapo ni uzembe wa Dereva na kiburi kilichotukuka cha hawa Madereva wa Maroli.

Hawa jamaa ukiwakuta wako barabarani nyakati za usiku ni shida, Wanakuwashia taa mwanga wa mwisho kabisaaaa, then wanapita nusu ya site yako.!! Ukiwaambia tabia yao wanakuonyeshe Dole!! Jamaa ni walevi na majivuni sana.

Kwa mujibu wa maelekezo ya Baba J, Wang'oe tyre zote za hilo roli wakauze, Jinga sana haya madereva

BACK TANGANYIKA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom