Gari ya mwendokasi yapata ajali Shekilango

Gari ya mwendokasi yapata ajali Shekilango

Ukifuatilia sana haya mabasi unaweza kuhisi kuna operesheni ondoa mwendokasi. Kuna lori limesimama katikati ya barabara inajaribu kukata toka sheli shekilango kwenda Ubungo.

Bahati mbaya kontena ni refu hivyo aliporudi nyuma hakuwa na MTU anamwelekeza. Tukaonaa tu anatuletea kontena. Mara dereva wa mwendokasi akajitahidi kukwepa ila akaishia kutugonga. Loh

Nawaombeni namba ya Kamanda Mpinga niombe kazi ya kuwafungulia matairi na kuwatafutia soko!!!!!!!!!!!!.
 
Hahaa ruhailula ujafunga zile dilizamatairi wazo lako tutalijafili tutakujulisha soon
 
Sasa yakiingia huo usiku yatapita barabara zipi? Maana hapa inasemekana radius ya kukata kona ni ndogo.
Yabebee wapiga dilii
 
  • Thanks
Reactions: bdo
Mkuu kwanza poleni,

Lakinu kuwa na Contena refu si bahati mbaya, wala kutokuwa na mtu wa kumuelekeza dereva pia siyo bahati mbaya. Hapo ni uzembe wa Dereva na kiburi kilichotukuka cha hawa Madereva wa Maroli.

Hawa jamaa ukiwakuta wako barabarani nyakati za usiku ni shida, Wanakuwashia taa mwanga wa mwisho kabisaaaa, then wanapita nusu ya site yako.!! Ukiwaambia tabia yao wanakuonyeshe Dole!! Jamaa ni walevi na majivuni sana.

Kwa mujibu wa maelekezo ya Baba J, Wang'oe tyre zote za hilo roli wakauze, Jinga sana haya madereva

BACK TANGANYIKA
Kakaaa bado shidaa nahisi ukiacha WATU kulipa wakasimame mahakaman NA wapigwe faini ndefu AMA kwenda ndan miezi sita..mnakumbuka ile adhabuu iliotolewa ukitanuua mnakumbuka walivyokuwa NA adabu Leo HII unatanua unapigwa picha NA kulipa faini unaondoka..wekandan uonee
 
Hahaaaa hao mavilaza kweli kama si mapopompoo mnadili NA jesca mtu ana uhakika wa kumaliza loh jalini dadazenu wanafanywaje vyuoni ili wafaulu NA wakitoka wanakuwa wazima AMA lah...achaneni NA jesca mnapoteza muda wenu
 
Hahaaaa hao mavilaza kweli kama si mapopompoo mnadili NA jesca mtu ana uhakika wa kumaliza loh jalini dadazenu wanafanywaje vyuoni ili wafaulu NA wakitoka wanakuwa wazima AMA lah...achaneni NA jesca mnapoteza muda wenu
Huu ujumbe mpwa ungeufikisha kule jukwaa la siasa ungesaidi!
 
Hahaaaa hao mavilaza kweli kama si mapopompoo mnadili NA jesca mtu ana uhakika wa kumaliza loh jalini dadazenu wanafanywaje vyuoni ili wafaulu NA wakitoka wanakuwa wazima AMA lah...achaneni NA jesca mnapoteza muda wenu
Pdidy tunajadili ajali uliyoipata hayo ya bint umeyatoa wapi tena?
 
Pdidy tunajadili ajali uliyoipata hayo ya bint umeyatoa wapi tena?
Ooh Mpwa anza soma mwanzo kuna mpumbavuu badala ya kujadili ajalii anamjadili binti wetu hana adabu awazi dadazake kama watatoka vyuoni wazima AMA lah... Pole mkuu chk mwanzoni utamkuta
 
Wapendwa kwa wenye kutoamsaada nikidownload Inaandika hilo tufanyeje ....
 
Ooh Mpwa anza soma mwanzo kuna mpumbavuu badala ya kujadili ajalii anamjadili binti wetu hana adabu awazi dadazake kama watatoka vyuoni wazima AMA lah... Pole mkuu chk mwanzoni utamkuta
Mpwa watu wa namna hiyo achana nao endelea na yako wanatabia za kuanzisha zao ktkt ya thread za wenzao, hata hivyo itakuwa nimeruka hiyo page
 
umdnifurahisha sAna pdidy umeandikathred yamaana sana
 
Kuwa kuwa mtoa hoja hapo juu kasema kuwa lori limewagonga wakati likirudi nyuma ili kupata nafasi/radius ya kukata kona, kama ingekuwa usiku hayo magari mengine yasingekuwe hivyo lingerudi nyuma bila shida.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom